Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,618
- 6,110
Kelele zote hizi ni baada ya kukosa buku sabaInawasaidia sana. Bunge lina meno na mahakama ina nguvu. Kiongozi akizingua ananyooshwa.
Kelele zote hizi ni baada ya kukosa buku sabaInawasaidia sana. Bunge lina meno na mahakama ina nguvu. Kiongozi akizingua ananyooshwa.
🤣🤣🤣🤣hongera kwa kulitambua hilo. Hata kama umechelewa sio.mbaya.Iwe ni kuwa na bunge lenye meno na ambalo litakuwa wajibu wa kuiwajibisha serikali lazima watanzania tukomae tupate katiba mpya.
Iwe ni kudhibiti wanasiasa waovu ambao walishageuza nchi yetu kama shamba la bibi kuvuna na kuiba mali za umma. Tunahitaji katiba mpya.
Kulinda na kutetea haki za kila mtanzania dhidi ya maovu ya udhalimu wa wakora wa kisiasa na wanaoua, kutesa na kuletea maumivu watanzania. Tunahitaji katiba mpya.
Katiba mpya itafutwe kwa kila namna, iwe kwa maandamano, makongamano, elimu na kuhamasisha watanzania wote bila kujali itikadi zao.
Katiba mpya ndio suluhu la matatizo ya taifa letu. Tupate katiba ambayo itaruhusu raisi, spika, waziri , Igp na kiongozi yoyote kushitakiwa kama akifanya kosa.
Nakuunga mkono kwa hili. Tuendeleee kupaza sauti. Tunapigwa mno. sio kwa ccm wala chadema.Acha talalila, tunapigwa watanzania wote. Tunahitaji katiba mpya watanzania wote.
Kuchelewa kivipi?🤣🤣🤣🤣hongera kwa kulitambua hilo. Hata kama umechelewa sio.mbaya.
una mifano au unabwabwaja tuInawasaidia sana. Bunge lina meno na mahakama ina nguvu. Kiongozi akizingua ananyooshwa.
Unafuatilia yanayoendelea Kenya?una mifano au unabwabwaja tu
Chadema has been on frontline for peoples rightsmmandengesi ...ndo mujuwe Chadema inawapigania kila dk
Kwanza hata nafasi ya kujaribu tu kuzingua hapati. Nchi inaenda vizuri na maendeleo yanakujaInawasaidia sana. Bunge lina meno na mahakama ina nguvu. Kiongozi akizingua ananyooshwa.
Hata mimi siamini kama ni maneno yake!!Inspekta Ndowo ameshadukuwa Mtu huku siyo bure.
Hahahahaa msimshambulie ameshaokoka huyu, twende naeInspekta Ndowo ameshadukuwa Mtu huku siyo bure.
Mwenzio ameshaokoka amekuacha aloneHata Kenya ina katiba mpya
Umechelewa kuufahamu ukweli kuhusu Katiba Mpya. Wenzako akina Ndege John,Kipara kipya, Imhotep, Faiza Fox, Britanicca etc walishashtuka kitambo sanaKuchelewa kivipi?
Sukuma gang naona sasa dawa tulizo kupa umeze zimeanza kufanya kazi.Iwe ni kuwa na bunge lenye meno na ambalo litakuwa wajibu wa kuiwajibisha serikali lazima watanzania tukomae tupate katiba mpya.
Iwe ni kudhibiti wanasiasa waovu ambao walishageuza nchi yetu kama shamba la bibi kuvuna na kuiba mali za umma. Tunahitaji katiba mpya.
Kulinda na kutetea haki za kila mtanzania dhidi ya maovu ya udhalimu wa wakora wa kisiasa na wanaoua, kutesa na kuletea maumivu watanzania. Tunahitaji katiba mpya.
Katiba mpya itafutwe kwa kila namna, iwe kwa maandamano, makongamano, elimu na kuhamasisha watanzania wote bila kujali itikadi zao.
Katiba mpya ndio suluhu la matatizo ya taifa letu. Tupate katiba ambayo itaruhusu raisi, spika, waziri , Igp na kiongozi yoyote kushitakiwa kama akifanya kosa.
Hapana mkuu bali ni somo la uraia kutoka kwa wana cdm limeanza kueleweka.Inspekta Ndowo ameshadukuwa Mtu huku siyo bure.
Pumbavu mkubwa achana na mimi.Sukuma gang naona sasa dawa tulizo kupa umeze zimeanza kufanya kazi.
Hapo bado sana ipo siku tutaongea lugha moja tu.
Ungemjua vizuri usinge jisumbua kumaliza calories zako.Asante mleta mada itapendeza Watanzania tukiimba wimbo wa Katiba mpya kwa wingi wetu pamoja.
Huna akili mburula mla panya.Hapana mkuu bali ni somo la uraia kutoka kwa wana cdm limeanza kueleweka.
Jingalao kiongozi msaidizi wa sukuma gang.Hata Kenya ina katiba mpya
nyie magaidi lazima mfungwe mwaka huuJingalao kiongozi msaidizi wa sukuma gang.