Rais Samia, Katiba Mpya ndio suluhu ya matatizo ya Watanzania

Katiba mpya ikikiukwa mtasema nini? Mtataka nyingine tena? Nayo ikikiukwa tena mtataka nyingine tena na tena na tena. Wenzenu wazungu wako tayari kumwaga damu kutetea na kulinda katiba zao. Nyie mtaweza?
 
Iwe ni kuwa na bunge lenye meno na ambalo litakuwa wajibu wa kuiwajibisha serikali lazima watanzania tukomae tupate katiba mpya.

Iwe ni kudhibiti wanasiasa waovu ambao walishageuza nchi yetu kama shamba la bibi kuvuna na kuiba mali za umma. Tunahitaji katiba mpya.

Kulinda na kutetea haki za kila mtanzania dhidi ya maovu ya udhalimu wa wakora wa kisiasa na wanaoua, kutesa na kuletea maumivu watanzania. Tunahitaji katiba mpya.

Katiba mpya itafutwe kwa kila namna, iwe kwa maandamano, makongamano, elimu na kuhamasisha watanzania wote bila kujali itikadi zao.

Katiba mpya ndio suluhu la matatizo ya taifa letu. Tupate katiba ambayo itaruhusu raisi, spika, waziri , Igp na kiongozi yoyote kushitakiwa kama akifanya kosa.
🤣🤣🤣🤣hongera kwa kulitambua hilo. Hata kama umechelewa sio.mbaya.
 
Iwe ni kuwa na bunge lenye meno na ambalo litakuwa wajibu wa kuiwajibisha serikali lazima watanzania tukomae tupate katiba mpya.

Iwe ni kudhibiti wanasiasa waovu ambao walishageuza nchi yetu kama shamba la bibi kuvuna na kuiba mali za umma. Tunahitaji katiba mpya.

Kulinda na kutetea haki za kila mtanzania dhidi ya maovu ya udhalimu wa wakora wa kisiasa na wanaoua, kutesa na kuletea maumivu watanzania. Tunahitaji katiba mpya.

Katiba mpya itafutwe kwa kila namna, iwe kwa maandamano, makongamano, elimu na kuhamasisha watanzania wote bila kujali itikadi zao.

Katiba mpya ndio suluhu la matatizo ya taifa letu. Tupate katiba ambayo itaruhusu raisi, spika, waziri , Igp na kiongozi yoyote kushitakiwa kama akifanya kosa.
Sukuma gang naona sasa dawa tulizo kupa umeze zimeanza kufanya kazi.

Hapo bado sana ipo siku tutaongea lugha moja tu.
 
Back
Top Bottom