Akifungua mkutano maalumu wa Baraza la Vyama vya Siasa leo hii trh 11/9/2023, Rais Dkt Samia amesema kuwa Katiba mpya ni Mali ya Watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama, wenye dini na wasio na dini, wakubwa kwa wadogo kila mmoja anayo haki kuielewa katiba yake.
Amefafanua kuwa ni lazima na muhimu elimu ikatolewa ili kila mtanzania awe na uelewa juu ya katiba yake.
Tunaunga kauli ya Rais Dkt Samia kuwa elimu kuhusu katiba itolewe ili nasi wananchi tuielewe.
Amefafanua kuwa ni lazima na muhimu elimu ikatolewa ili kila mtanzania awe na uelewa juu ya katiba yake.
Tunaunga kauli ya Rais Dkt Samia kuwa elimu kuhusu katiba itolewe ili nasi wananchi tuielewe.