MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,543
- 11,644
neno overriding amelijua leo au
Watasema Jiwe ndio kaanzisha kiburi.Mliokua mnasema jiwe alikua na kiburi..leo sura zenu mnazificha wapi?
Watasema Jiwe ndio kaanzisha kiburi.Mliokua mnasema jiwe alikua na kiburi..leo sura zenu mnazificha wapi?
TEC Wana kiburi wakiamini nchi Yao,leo wamechanwa na wakiendelea nadhani mabanzi yatafuata, tanzania siyo kigango cha kanisa wala parokiaWatasema Jiwe ndio kaanzisha kiburi.
Mmepagawa na kuchanganyikiwa mda si mrefu mtaishi kama digidigi pangoniTEC Wana kiburi wakiamini nchi Yao,leo wamechanwa na wakiendelea nadhani mabanzi yatafuata, tanzania siyo kigango cha kanisa wala parokia
Ndani ya wiki moja yule Father atakuwa amedhurika. Gwajima kaa hukohuko hatuko tayari kukupoteza na wewe.Makanisa ya RC yataanza chomwa moto, maana mkoloni anaona wao kama kikwazo kwake kutawala
Yeye ameongea na wazee wa dar es slaamMama kachafukwa 🙂 Kumbe hasira zote hizi ni Press ya jana yaFr Kitime? Si ajabu alikuwa ba hotuba nyingine akaiweka kando na kusema asemayo
Leo amenikosha sana ndio anavyotakiwa kuwa Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Huyo Padre Kitima na huyo Rais wa TEC ni wanaharakati. Mimi ni RC lakini hatuwataki kabisa kwa uanaharakati wao kama wanataka wajiunge kwenye vyama vya siasa kama ambavyo alifanya Dr. Slaa waache waumini wa RC waendelee na imani zao na wala siyo siasa uchwara.Friends and Our Enemies,
Nichukue nafasi hii kumpongeza sana Mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk Samia Suluhu Hassan.
Hakika leo amesimama imara kukisema kile ambacho sisi wazalendo wa nchi hii tumekuwa tunamatamani siku zote akitamke na watu waelewe uhalisia.
Rais Samia amesimama imara na kukataa kuifanya ile mila la kanisa katoliki na washirika wake kuwa ndiyo wenye mamlaka pekee na amri ya kuipiangia serikali eti nini kifanye na kipi isifanye na nini kitatokea endapo serikali haitatii.
Nadhani ni wakati sasa TEC umefika na kutambua kuwa nyinyi siyo lolote na siyo chochote kwenye nchi hii,kazi yenu kubwa ni kuchunga kondoo wenu na kuhubiri neno la mungu na siyo kupimana nguvu na serikali na kutaka kujipa mamlaka ambayo siyo yenu.
Amesisitiza na kuwaambia TEC waache uchochezi na kugawa watu na kujipa kazi ambayo siyo yao.
Nchi hii inaongozwa kwa tunu ya amani na upendo na suala la kudai haki linaendana na wajibu katika kudai haki na njia stahiki ya kuendea haki hiyo.
Siyo wanakuja wahuni kuchoma nchi na kuchochea vurugu kisha mnasema kwamba walikuwa wanafanya maandamano.
Na mkisema kuwa nguvu iliyotumika ni kubwa kwahiyo TEC mlitaka itumike nguvu gani mbadala ya kuhakikisha watu waliotaka kupindua nchi wanadhibitiwa.?
Rais samia anasema tokea aingie madarakani TEC wameshakuja na Waraka nane zenye kuipinga serikali tatizo ni nini??chuki kwa kuwanyeye siyo mtu wa imani yao,au hajazaliwa kwenye upande wao au shida nini??
Rais samia piga kazi,tupo nyuma yako na unazo dua zetu.
TEC watambue kuwa zama zao za kuongoza nchi kwa njia ya mfumo kristo zimeshaisha.
Ahsante MkuuLeo amenikosha sana ndio anavyotakiwa kuwa Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama. Huyo Padre Kitima na huyo Rais wa TEC ni wanaharakati. Mimi ni RC lakini hatuwataki kabisa kwa uanaharakati wao kama wanataka wajiunge kwenye vyama vya siasa kama ambavyo alifanya Dr. Slaa waache waumini wa RC waendelee na imani zao na wala siyo siasa uchwara.
Wait and see sisem vita mmAmka,utakunya kitandani,fikiria wale jamaa wa kibiti waelekeze nguvu kanisani,itakuaje?
Kanisa lichunge kondoo