Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,945
Ki ukweli nimesikiliza hotuba ya Mh Rais Samia leo kwenye mkutano na wadau wa Demokrasia nimekosa jibu la moja kwa moja kuwa licha ya kuwa Rais Samia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa Bunge la Katiba mwaka 2014 bado haikulitumia kama funzo bunge lile!
Maswali ninayo jiuliza leo hii!
1. Rais Samia anaamini kuwa kwakuwa wananchi kwa 50% hawakuwa na uelewa juu katiba ndiyo walisababisha mchakato wa Katiba kukwama?
2. Rais Samia hakujua nani au wakinani walivuruga mchakato wa Katiba mwaka 2014?
3. Rais Samia hakujifunza kuwa mara baada ya kuandika katiba pendekezwa itahitajika Elimu kwa wananchi wanakubali Katiba pendekezwa na wanaoipinga ili waipigie kura wananchi?
4. Rais Samia aliona Report za tume ya katiba ikisema kuwa wananchi hawana uelewa wowote juu ya katiba?
5. Rais hakumbuki kama kuhodhi kwa mchakato wa katiba kwa CCM (JAKAYA) Ndiko kulipelekea mchakato wa katiba mpya mwaka 2014 kukwama?
6. Rais Samia hajui kama Katiba si mali yake na wala hana mamlaka nayo?
Mbona kama Rais amekuwa kama mgeni na mtu ambae hajawahi kubisa sio kushiriki tu au ata kusikia mabadiliko ya Katiba?
Maswali ninayo jiuliza leo hii!
1. Rais Samia anaamini kuwa kwakuwa wananchi kwa 50% hawakuwa na uelewa juu katiba ndiyo walisababisha mchakato wa Katiba kukwama?
2. Rais Samia hakujua nani au wakinani walivuruga mchakato wa Katiba mwaka 2014?
3. Rais Samia hakujifunza kuwa mara baada ya kuandika katiba pendekezwa itahitajika Elimu kwa wananchi wanakubali Katiba pendekezwa na wanaoipinga ili waipigie kura wananchi?
4. Rais Samia aliona Report za tume ya katiba ikisema kuwa wananchi hawana uelewa wowote juu ya katiba?
5. Rais hakumbuki kama kuhodhi kwa mchakato wa katiba kwa CCM (JAKAYA) Ndiko kulipelekea mchakato wa katiba mpya mwaka 2014 kukwama?
6. Rais Samia hajui kama Katiba si mali yake na wala hana mamlaka nayo?
Mbona kama Rais amekuwa kama mgeni na mtu ambae hajawahi kubisa sio kushiriki tu au ata kusikia mabadiliko ya Katiba?