Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Mazungumzo ya Viongozi hao yamefanyika leo September 29,2021 Ikulu ya Chamwino Dodoma
Unaweza ukatueleza kwanini Makamu wa Rais (Mwanamke) wa Marekani hakumwalika Rais wetu ( Mwanamke) na badala yake akamwalika Rais (Mwanaume) wa Zambia?Hapa Mataga na CDm kwa wivu na husuda zao wataanza kusema eti' Mama Samia anakaribisha mabeberu...wakati juzi walikesha mitandaoni kumpongeza Rais wa Zambia kwa kualikwa na Makamu wa Rais wa Marekani na taasisi nyingine za kimataifa.
Taratibu tunarudi katika hadhi na heshima yetu kidoplomasia kimataifa.
😍Mazungumzo ya Viongozi hao yamefanyika leo September 29,2021 Ikulu ya Chamwino Dodoma
View attachment 1957508
View attachment 1957509
View attachment 1957510
Ha ha ha. Na wanapokelewa kwa heshima na itifaki zote. Niishie hapo.Mabeberu Wanakuja Kwetu Sasa Hivi
Nchi Ngumu SanaHa ha ha. Na wanapokelewa kwa heshima na itifaki zote. Niishie hapo.
Daah mwamba umenichekesha kwa sauti usiku huu....I hope Her Excellency knows that the honourable gentleman is a seasoned traveling salesman for high level, global crafty traders.
Make no mistake, he can even sell her the Indian Ocean with his very exceptional, beguiling parlance.
Yaani umeifanya kama mzaha mkuu, huku ukipitisha hoja kali kabisa ambayo uwezo wa kuijadili kwenye jamvi kama hili haupo/haufanyiki!ukichukulia wanawake toka enzi za Hawa wanadanganyika kiwepesiii!
ah waiter mzuriii naomba Bia nyingine hapa...
Kukutana na wapinzani mfikie muafakaa name haki itendeke ngumu ila mazungu yalotutawala toka hukoo majuu wanateleza tuu ikulu yaaaniii!
waiter fungua bia nipe naglasiii....
oh sorry ntaendelea badae ngoja ninywe mapafu kadhaa! bia tamu ila kawaiter katam zaidi dooh!!