Protokali ya Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu ipoje?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,566
32,215
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
**Kawawa alizikwa Kwa heshima wa Makamu wa Rais (Mstaafu).

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ye Waziri Mkuu (Mstaafu).

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?

Sijui historia imenipita pembeni!! Nilijua Rashid Mfaume Kawawa alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu!! Poor me!!
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Nani akubali kuzikwa sehemu ambayo hakuzaliwa na ana kwao?
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Rashidi Mfaume Kawawa alikua waziri wa elimu sio na sio waziri Mkuu wa Tanganyika na baadae JMT kama hutaki kumskia Moringe Sokoine 🐒
 
1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.

2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?

3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa
  2. Amir H. Jamal **
  3. Edward Moringe Sokoine
  4. Cleopa Msuya
  5. Salim Ahmed Salim
  6. Joseph Warioba
  7. John Malecela
  8. Cleopa Msuya
  9. Frederick Sumaye
  10. Edward Lowassa
  11. Mizengo Pinda
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3, na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
 
Hawa ndo mawaziri wakuu Wa Tanganyika na Tanzania tangu mwaka 1962 Tanganyika ilipokuwa Jamhuri
  1. Rashidi Kawawa (1962–1967)
  2. Amir H. Jamal (1967–1972)
  3. Edward Moringe Sokoine (1972–1980)
  4. Cleopa Msuya (1980–1983)
  5. Salim Ahmed Salim (1984–1985)
  6. Joseph Warioba (1985–1990)
  7. John Malecela (1990–1994)
  8. Cleopa Msuya (1994–1995)
  9. Frederick Sumaye (1995–2005)
  10. Edward Lowassa (2005–2008)
  11. Mizengo Pinda (2008–2015)
  12. Majaliwa Kassim Majaliwa (2015–mpaka sasa)..
WAliofariki ni 1,2,3,57 na 10 kafa sasa..
Ina maana ina maana kwa wote hao hukuona mazishi yao?
Aisee una maana Salim Ahmed Salim kashafariki?. RIP
 
Back
Top Bottom