Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Mwandish wa hii thredi ameshapiga b100 km masiharaHapa ndipo tunapoanza kuchukiana na kuwahisi mnatuibia
Heading inasema 373 bil
Content inasema 273 bil
Naweka record sawa msije mkatupiga changa la macho, hatutaki ujanjaujanja
Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa...www.jamiiforums.com