Unamshukuru mtu anapotimiza wajibu wake au unatakiwa kumpongezaMkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372
Mkuu, kuna watu humu wapite kama kinyesi cha punda tu, wamepinda muda mwingine hawajui hata wanachoandika wenyeweMatusi ya nini sasa?
Hiyo ya mkuu Bagamoyo na mizigo ya Mombasa sijui kaitoa wapi!jamani haya madude yanaendeshwa na umeme, tunajitahidi kuupata umeme toka Nyerere Dam Rufiji
vituo vya kutunzia umeme vinajengwa kwenye station za SGR sasa tukachukue umeme ambao hata kwenye migodi hautoshi, bado mizigo tukapitishia Mombasa, ikaingie Ziwa Nyanza ippakuliwe tena mata mbili hapo Isaka.
Namuomba Makamu wa Rais Bw Mpango aanze na Tabora Kigoma ni karibu kabisa na Makutupora na Burundi na DRC wanategemea Kigoma kuliko hao Rwanda wanaotaka kwa lazima Isaka
tutapoteza pesa nyingi mradi usikamilike hata wa Dar Makutupora
Hiki kilitakiwa kiwe kimekamilika hadi sasa, hicho cha Dodoma sijui kilipangwa kikamilike lini, huenda wakati wake bado.Kuna shida gani hicho kipande mpaka kisikamilike? Vipi kuhusu moro- dodoma kimekamilika?
Binafsi Huu Mradi Ni Mzuri Umegubikwa Na Mambo Ya Hovyo Hovyo Sana. Kulikuwa Na Haraka Gani Kutangaza Mpaka Isaka
Ulitakiwa Dar es Salaam ~Morogoro Treni Ianze Kazi
Sasa Wao Kila Wakati Wanasogeza Mbele Tu Mara Itaanza April Mara September.
Baadaye Ndiyo Wangekuja Na Morogoro ~Dodoma
Ikikamilika Wanakwenda Mbele
Mpaka Sasa Hivi Dar es Salaam ~Morogoro Wamesogeza Mbele Mara Nyingi Mno
Uliambiwa TAZARA ni yako?Reli iliyotakiwa kuimarishwa ni TZR ...kupanga ni kuchagua ...Kama unazingatia vipaumbele!TRC ingefuata...ila ndio hivyo tulikywa tunzbyruzwa na My Mungu Jiwe!
TZR I Reli ya kimkakati zaidi kuliko TRCUliambiwa TAZARA ni yako?
Muwe mnajiahangaisha kidogo kupata taarifa, usilaumu tu.
Huyo atakuwa kasoma tu heading, then akakimbia mbio kukomentWe
Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
Na TBC One!!! Wazee wa promo hawachelewi sijui siku hizi kwanini wana ganzi!!!???Muda siyo Mrefu tutasikia KISHINDO CHA AWAMU YA SITA.
Pombe ililevya wengi na haijawatoka...We
Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
mradi utaanza kufanya kazi kwa awamu kama ulivyoanza kwa awamu,ndani ya mwaka huu kutakuwa na treni kati ya Dar-Moro kipande cha pili kikiwa tayari safari zinaongezeka Dar-Moro-DomUkweli tuseme, huu mradi ukamilishwe kwanza kutoka Dar to Dom na teen lianze Nazi, sasa kwa mtindo huu mbona kukamilika itachukua awam7
unawajua wamiliki wa TAZARA?TZR I Reli ya kimkakati zaidi kuliko TRC
Ilikua ni strategy nzuri ya mwendazake ili atakayekuja badala yake asibadili mawazo maana vipande vinavyobaki vinakua vidogo,kwa nn mwendazake aliamua kitengeneze cha isaka mwanza na kuacha makutopora tabora na tabora isaka
Kadogosa aondolewe aludi kwao Bariadi,aliwekwa kimasilahi na mwendazake.
100Bilionii zimeenda wapi?Hakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Kwani kazitoa kwao? Hizo Ni Kodi zetuHakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.