Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

Mkurugenzi na Timu yake inayo simamia mradi huu wa SGR wanapaswa wakune vichwa kuona ni jinsi gani mradi huu unakuwa ni kiunganishi cha vyanzo vya uchumi wa taifa
 
jamani haya madude yanaendeshwa na umeme, tunajitahidi kuupata umeme toka Nyerere Dam Rufiji
vituo vya kutunzia umeme vinajengwa kwenye station za SGR sasa tukachukue umeme ambao hata kwenye migodi hautoshi, bado mizigo tukapitishia Mombasa, ikaingie Ziwa Nyanza ippakuliwe tena mata mbili hapo Isaka.
Namuomba Makamu wa Rais Bw Mpango aanze na Tabora Kigoma ni karibu kabisa na Makutupora na Burundi na DRC wanategemea Kigoma kuliko hao Rwanda wanaotaka kwa lazima Isaka
tutapoteza pesa nyingi mradi usikamilike hata wa Dar Makutupora
Hiyo ya mkuu Bagamoyo na mizigo ya Mombasa sijui kaitoa wapi!

Mizigo hiyo ya njia ya Mombasa itabidi ipakuliwe melini, ipakiwe SGR, ipelekwe Naivasha, ipakuliwe na kupakiwa kwenye Meter rail kupelekwa Kisumu ambapo inaweza kubidi ipakuliwe tena na kupakiwa kwenye meli hadi Mwanza, ishushwe na kupakiwa kwenye SGR kupelekwa Isaka, ishushwe na kupakiwa kwenye malori kupelekwa Burundi na DRC?

Nani atafanya biashara ya aina hiyo!
 
Reli iliyotakiwa kuimarishwa ni TZR ...kupanga ni kuchagua ...Kama unazingatia vipaumbele!TRC ingefuata...ila ndio hivyo tulikywa tunzbyruzwa na My Mungu Jiwe!
 
Kuna shida gani hicho kipande mpaka kisikamilike? Vipi kuhusu moro- dodoma kimekamilika?
Hiki kilitakiwa kiwe kimekamilika hadi sasa, hicho cha Dodoma sijui kilipangwa kikamilike lini, huenda wakati wake bado.
 
Hivi siku hizi wale waandishi was habari wenyekuuliza (interview) maswali yakitaalamu hakuna??

Maana ma medie mengi lakini wananchi bado wanamaswali mengi
Binafsi Huu Mradi Ni Mzuri Umegubikwa Na Mambo Ya Hovyo Hovyo Sana. Kulikuwa Na Haraka Gani Kutangaza Mpaka Isaka


Ulitakiwa Dar es Salaam ~Morogoro Treni Ianze Kazi
Sasa Wao Kila Wakati Wanasogeza Mbele Tu Mara Itaanza April Mara September.

Baadaye Ndiyo Wangekuja Na Morogoro ~Dodoma
Ikikamilika Wanakwenda Mbele

Mpaka Sasa Hivi Dar es Salaam ~Morogoro Wamesogeza Mbele Mara Nyingi Mno
 
Reli iliyotakiwa kuimarishwa ni TZR ...kupanga ni kuchagua ...Kama unazingatia vipaumbele!TRC ingefuata...ila ndio hivyo tulikywa tunzbyruzwa na My Mungu Jiwe!
Uliambiwa TAZARA ni yako?
Muwe mnajiahangaisha kidogo kupata taarifa, usilaumu tu.
 
We

Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
Huyo atakuwa kasoma tu heading, then akakimbia mbio kukoment
 
We

Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
Pombe ililevya wengi na haijawatoka...
 
Ukweli tuseme, huu mradi ukamilishwe kwanza kutoka Dar to Dom na teen lianze Nazi, sasa kwa mtindo huu mbona kukamilika itachukua awam7
mradi utaanza kufanya kazi kwa awamu kama ulivyoanza kwa awamu,ndani ya mwaka huu kutakuwa na treni kati ya Dar-Moro kipande cha pili kikiwa tayari safari zinaongezeka Dar-Moro-Dom
 
kwa nn mwendazake aliamua kitengeneze cha isaka mwanza na kuacha makutopora tabora na tabora isaka
Ilikua ni strategy nzuri ya mwendazake ili atakayekuja badala yake asibadili mawazo maana vipande vinavyobaki vinakua vidogo,
Si wajua hapa kwetu kila Rais akiingia na kipaumbele chake
 
Back
Top Bottom