jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Angeweza kupeleka kwenye posho za wabunge hukoKwani kazitoa kwao? Hizo Ni Kodi zetu
Angeweza kupeleka kwenye posho za wabunge hukoKwani kazitoa kwao? Hizo Ni Kodi zetu
Nape naye ni chadema??Nyie CHADEMA changieni sasa mbona mmekaa kimya na hilo genge lenu la akina Nape,,Kikwete,,Ridhiwani,,,January...
Mnakodoa mimacho
Angeweza kupeleka kwenye posho za wabunge huko
Hapa ndipo tunapoanza kuchukiana na kuwahisi mnatuibiaHakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Mkuu kweli wewe ni jingalao!! ipi ni kweli, 373 au 273?Hakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Ila mambo yakiharibika kulaumu ni wajibu!!!. hizi ndio mentality za kiafrika siku zote zinahalalisha malalamiko.Hiyo ni kazi ya serikali hakuna haja ya pongezi!
Kwani mailman anapongezwa mara afikishapo mzigo mahali alipoambiwa??
272.9Mkuu kweli wewe ni jingalao!! ipi ni kweli, 373 au 273?
Ni bilioni 373 au bilioni 273 mkuu wa majinga duniani jingalao !!??Hakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Angeweza kupeleka kwenye posho za wabunge huko
Bilion 100 wamezigawana na mkuu wake watuambie zimeenda wap?Hakika KAZI IENDELEE
Masanja Kadogosa amekiri kuwa wamepokea kiasi cha Tsh bilioni 273 ambazo zinaenda kujenga mradi wa reli SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Serikali ya china ndio inayojenga hicho kipande.Nakumbuka huo ni mkopo wa china....