digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,911
- 14,414
Hakika Nani Kama mama, hakika anaupiga mwingi! Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!
Ni hivi kwa wale watumishi wa umma, hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu Rais wa watu, yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa, hivyo hudaiwi.
Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya, Samia Safi!!! Nani Kama mama????
# kazi iendelee!!
Ni hivi kwa wale watumishi wa umma, hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu Rais wa watu, yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa, hivyo hudaiwi.
Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya, Samia Safi!!! Nani Kama mama????
# kazi iendelee!!