ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,160
- 706
Tatizo ulidanganywa huko nyumaWewe ni mwandishi mwongo sana na mtu wa kujipendekeza kkwa vitu visivyokuwepo
Tatizo ulidanganywa huko nyumaWewe ni mwandishi mwongo sana na mtu wa kujipendekeza kkwa vitu visivyokuwepo
Kipindi hicho wewe ukiwa maiti na kufufuka uklikokuwa umefungiwa?Tatizo ulidanganywa huko nyuma
Daah JF ni shidaKipindi hicho wewe ukiwa maiti na kufufuka uklikokuwa umefungiwa?
Kazi ya kusifia unaiweza haswa na ujira wako si haba
Jiwe alifanya kweli ,sio huyu shangazi yakoHata wewe ulikuwa unamsifia jiwe
Hongera Sana Rais SamiaKwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.
" Hakuna kama Samia "
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )
Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,
Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.
Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,
Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Hahaha, kumbeHata wewe ulikuwa unamsifia jiwe
Hapo ni kama hajapunguza kitu. 0.1 ndio punguzo gani? Tatizo kuna watu kazi yao kuimba ngonjera kusifia hata mahali hapastahili. Shida yetu mama ana mwelekeo wa kitegemezi sana. Alipokuja tony blair aliona kama dili sana kisha akapigwa hela. Nchi inahitaji kuponywa kisaikolojia kwa sababu sisi ni matajiri wa mali asili. Tunachohitaji ni kujiamini na kuwaza kujitegemea. Tunataka ile trend ya jpm kuendelea.. jeuri ya kujitegemea kwa kua ni kweli tunaweza kujitegemea. Mama ana mindset ya ombaomba. Hili ni tatizo. Ukiwasujudia mabeberu wanakupeleka kwa mipango yao. Bajeti zao ni kupata bwerere kutoka kwetu.Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.
" Hakuna kama Samia "
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )
Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,
Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.
Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,
Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Nadhani nia ni kuondoa dhana kwamba Rais Samia anakopa sana kuliko mtangulizi wake,Hapo ni kama hajapunguza kitu. 0.1 ndio punguzo gani? Tatizo kuna watu kazi yao kuimba ngonjera kusifia hata mahali hapastahili. Shida yetu mama ana mwelekeo wa kitegemezi sana. Alipokuja tony blair aliona kama dili sana kisha akapigwa hela. Nchi inahitaji kuponywa kisaikolojia kwa sababu sisi ni matajiri wa mali asili. Tunachohitaji ni kujiamini na kuwaza kujitegemea. Tunataka ile trend ya jpm kuendelea.. jeuri ya kujitegemea kwa kua ni kweli tunaweza kujitegemea. Mama ana mindset ya ombaomba. Hili ni tatizo. Ukiwasujudia mabeberu wanakupeleka kwa mipango yao. Bajeti zao ni kupata bwerere kutoka kwetu.
DaahPathetic!! Unajaribu kulinganisha bajeti iliyopita na hii kutokea tulichopanga!! Unajaribu kuonesha bajeto zetu ni kubwa na zinajitosheleza sana.
Kama hutaweza kusema ni kwa kiwango gani tulitekeleza bajeti za miaka iliyopita - unajisumbua bure kwa watu wenye akili. Huwezi kuzungumzia makadirio bila makusany+matumizi!! Halafu uruke hayo na kukimbilia kuzungumzia kupungua kwa mikopo/misaada!!
Budget performance kwa baadhi ya wizara FY 2019/20 ilikuwa mpaka 35%!! Kwanini haikuwa angalau 95%!!
Imekushinda wewe kwa kuwa huelewi Dunia inavyoendaMama hata ujipigie debe vipi, kazi imeishakushinda
Hiyo misaada mnayopokea mnaipeleka wapi kama sio mifukoni mwenu na kuwapa mzigo wananchi kulipa madeni?Hongera Sana Rais Samia
Wajinga sana ninyi ng'ombe unajua 60 ya bajeti tunategemea mabeberu?Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.
" Hakuna kama Samia "
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )
Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,
Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.
Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,
Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Tukiacha roho mbaya Rais Samia anajitahidi sanaPathetic!! Unajaribu kulinganisha bajeti iliyopita na hii kutokea tulichopanga!! Unajaribu kuonesha bajeto zetu ni kubwa na zinajitosheleza sana.
Kama hutaweza kusema ni kwa kiwango gani tulitekeleza bajeti za miaka iliyopita - unajisumbua bure kwa watu wenye akili. Huwezi kuzungumzia makadirio bila makusany+matumizi!! Halafu uruke hayo na kukimbilia kuzungumzia kupungua kwa mikopo/misaada!!
Budget performance kwa baadhi ya wizara FY 2019/20 ilikuwa mpaka 35%!! Kwanini haikuwa angalau 95%!!
Hapana sio kweli hii crdeWajinga sana ninyi ng'ombe unajua 60 ya bajeti tunategemea mabeberu?
Kufanya maendeleo, Rejelea trh 10|10|2021 DodomaHiyo misaada mnayopokea mnaipeleka wapi kama sio mifukoni mwenu na kuwapa mzigo wananchi kulipa madeni?
Endelea kupamba maiti, hawezi kufufukaImekushinda wewe kwa kuwa huelewi Dunia inavyoenda
Mungu akusamehe chiefEndelea kupamba maiti, hawezi kufufuka
Kweli amsamehe tu duuuhMungu akusamehe chief
Kama ni upepo wa huyu mama ni balaa,Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.