Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
mama kama mama, tutaelewana tu
 

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA

Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia
 

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Kazi nzuri hii,
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
 

Kwamsiofahamu, Rais wetu katika kuitegemeza bajeti ya Serikali tayari taratibu ameanza kupunguza misaada na mikopo ya wahisani mfano kwenye bajeti yake ya 2021|22 amepunguza kidogo kutoka 8.2% hadi 8.1% || Nikweli Tanzania tunapokea misaada ila hatuitegemei.​

" Hakuna kama Samia "​


Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
 
Back
Top Bottom