Rais Mstaafu Kikwete unapata Faida gani Kujionyesha Wewe ni mwana Yanga SC sana na kuwa na 'Kiherehere' Kuhudhuria Mikutano yao?

Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Wewe ndio una kiherehere na kushobokea watu

Hao viongozi uliowataja wote ni tofauti n Kikwete

Katika watu ambao wamewahi kuwa viongozi katika clabu ya Yanga na Kikwete yupo kwa hiyo yawezekana ameenda pale kama kiongozi mstafu wa Yanga na si kama raisi mstafu wa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Soka linaficha mambo mengi mkuu.. tafakar t maana we unajua kunyambua na kunyambulisha
 
Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Angalikuwa simba ungalikuona kidume! Upuuzi wako sijui utesha lini
 
Haya sasa tumejua ' GSM ' ni yake 100%.
Hata kama ni yake, so what? Mama jana katamka kuwa familia yake wanamiliki TV Station inampunguzia au inamuongezea nini? Mwache JK na Yanga yake. Waambie hao wa simba watoke hadharani tuwajue!!! Kwa nini wanafichama? Au wanaonekana simba akishinda akifungwa wanajifungia vyumbani!
 
Nashangaa kuona na kusikia kuna Watanzania eti wanampenda Kikwete hadi kudiriki kusema alikuwa Rais mzuri wa Tanzania wakati ndiyo alikuwa Rais mbovu kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Ndiyo maana tunaambiwa watanzania wana akili mgando, si unaona marais wanazidi kutuchezea akili kila kukicha
 
NAIONA TURUFU YA UGOMBEA URAISI WA JMT KUPITIA YANGA KAMA PLATFORM KWA TEAM KIKWETE!!TUSUBIRI TUONE YA MOSE KATUMBI NA CONGO DRC!!!
 
Miaka ile ilikuwa.
Juu Kikwete
Katikati Manji
Chini Malinzi.
Na hawakufika kokote Kimataifa.
Kila mechi lazima wapate Penati,
Kwao ilikuwa hakuna offside.
Walibebwa hawakubebeka.

Kikwete kwa hadhi yake hakutakiwa kujionesha ni Yanga lialia.
uyo Simba kimataifa amechukua kombe gani, kwenye mpira mafanikio ni kuchukua kombe na sio kitu kingine
 
Sasa alichokuwa anaficha ni nini tusijue kuwa GSM ni Kikwete na Kikwete ni GSM?

Na alivyo Mnafiki kaona wana Yanga SC wanantaka Manji Yeye kamshauri asubiri Kwanza.

Kumbe anataka GSM yake ikamilishe Mchakato wa Mabadiliko na Waitawale Yanga SC wapige Pesa.

Ndiyo maana hata Rostam Aziz ambaye alitaka Kuwekeza Yanga SC tena kwa Bilioni 40 alivyoona tu 'Wapigaji' GSM wapo na 'Kiherehere' kaachana hiyo nia yake na sasa anawachora tu huku akiwadharau.
Ni Nani aliahirisha mechi iliyopita? Huenda ni mikia wa kificho
 
Back
Top Bottom