Rais Mstaafu Kikwete unapata Faida gani Kujionyesha Wewe ni mwana Yanga SC sana na kuwa na 'Kiherehere' Kuhudhuria Mikutano yao?

Sasa alichokuwa anaficha ni nini tusijue kuwa GSM ni Kikwete na Kikwete ni GSM?

Na alivyo Mnafiki kaona wana Yanga SC wanantaka Manji Yeye kamshauri asubiri Kwanza.

Kumbe anataka GSM yake ikamilishe Mchakato wa Mabadiliko na Waitawale Yanga SC wapige Pesa.

Ndiyo maana hata Rostam Aziz ambaye alitaka Kuwekeza Yanga SC tena kwa Bilioni 40 alivyoona tu 'Wapigaji' GSM wapo na 'Kiherehere' kaachana hiyo nia yake na sasa anawachora tu huku akiwadharau.
Genta, main point yako no kututangazia kuwa Gsm ya kikwete na siyo habari ya Yanga!!! Kwanini usingeenda kwenye point ukaacha kuzunguka?
 
Nilikuwa nakuona unauelewa mkubwa kumbe uelewa wako ni wa kilomita moja tu mbele basi.

Hivi unaweza kuficha hisia na unachokipenda?? Vipi hao marais mnaowaita taifa alafu mnapigwa mbele yao na wapenzi wa timu yenu??? Au nao wanakuja na p. Interest za simba sio utaifa??
 
Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
mama yenu katoka kwa mkapa na uzuni
 
Raisi samia sio simba wewe boya,..! ni mwananchi original kabisa na kama una ushahidi weka hapa tuthibitishe...
 
Sasa alichokuwa anaficha ni nini tusijue kuwa GSM ni Kikwete na Kikwete ni GSM?

Na alivyo Mnafiki kaona wana Yanga SC wanantaka Manji Yeye kamshauri asubiri Kwanza.

Kumbe anataka GSM yake ikamilishe Mchakato wa Mabadiliko na Waitawale Yanga SC wapige Pesa.

Ndiyo maana hata Rostam Aziz ambaye alitaka Kuwekeza Yanga SC tena kwa Bilioni 40 alivyoona tu 'Wapigaji' GSM wapo na 'Kiherehere' kaachana hiyo nia yake na sasa anawachora tu huku akiwadharau.
Wewe umekatazwa kumiliki ? Umbea na dododomo unafaidika na nini?Kumbwa Jinga kweli wewe
 
Wengine tuna 'Madhambi' yake tokea akiwa Waziri wa Mambo ya Nje, ila kwakuwa ni Mzee sasa na kwa Kumuheshimu tu na Kuzingatia 'Maadili' tunaamua Kunyamaza tu. Hakuna Kiongozi hapo bali ni Msanii n Mswahili mtupu!
Hivi, alionja vya chumbani kwenu mpaka mmemkazia kwa maneno makali?
 
Wacha mzee a support anachokipenda, acha usenge.. Kufungwa afungwe Manura uumie ww... Hahahahaa
Yanga ndo wanaume wa nchi hii.. Tukutane 25 July Kigoma
 
Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Usingeandika na wewe ningejua huna kiherehere , wacha unyani wewe ndiye mkuu wa viherehere hapa JF.
 
Hao wengine kwani walikatazwa kuhudhuria vikao? Mambo yake muachieni mwenyewe...
 
To be honest, huu uzi ulinikera sana! Nakumbuka niliandika maneno makali sana dhidi ya mtoa mada, then nikaamua tu kufuta ili na mimi nisionekane POPOMA!
 
Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.

Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.

Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.

Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.

Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )

Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.

Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
WAZAZI WAKOOO WANAVYOUZA BANGI WANAPATA FAIDA GANI KWANI

BANGIZINGINE BANA
 
Back
Top Bottom