nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Genta, main point yako no kututangazia kuwa Gsm ya kikwete na siyo habari ya Yanga!!! Kwanini usingeenda kwenye point ukaacha kuzunguka?Sasa alichokuwa anaficha ni nini tusijue kuwa GSM ni Kikwete na Kikwete ni GSM?
Na alivyo Mnafiki kaona wana Yanga SC wanantaka Manji Yeye kamshauri asubiri Kwanza.
Kumbe anataka GSM yake ikamilishe Mchakato wa Mabadiliko na Waitawale Yanga SC wapige Pesa.
Ndiyo maana hata Rostam Aziz ambaye alitaka Kuwekeza Yanga SC tena kwa Bilioni 40 alivyoona tu 'Wapigaji' GSM wapo na 'Kiherehere' kaachana hiyo nia yake na sasa anawachora tu huku akiwadharau.