GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,647
- 109,036
"Yanga SC wenye Akili timamu ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Mzee Kikwete na Baba yangu Mzee Manara na waliobaki wote hawana Akili kabisa" alisema Haji Manara Mwanachama wa Yanga SC, aliyekuwa Msemaji wa Yanga SC na Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC.
Kwa wanaotaka kumsikia Haji Manara akisema haya nendeni katika YouTube mkamsikie pale alipokuwa akihojiwa na East Africa Tv na EFM Radio..
GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuliza kwanini hii Hospitali Kubwa duniani inataka kuingia Mkataba na Watu wasio na Akili ambao ni Yanga SC?
ANGALIZO
Hupendi utani achana na huu Uzi Ok?
Kwa wanaotaka kumsikia Haji Manara akisema haya nendeni katika YouTube mkamsikie pale alipokuwa akihojiwa na East Africa Tv na EFM Radio..
GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuliza kwanini hii Hospitali Kubwa duniani inataka kuingia Mkataba na Watu wasio na Akili ambao ni Yanga SC?
ANGALIZO
Hupendi utani achana na huu Uzi Ok?