Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,188
- 22,593
Mkuu popoma hapa umezingua..
Oya!Alaf we jamaa nina wasi wasi na jinsia yako.
akikujibu nitagi.Mbona Majaliwa yupo Namungo humzungumzii?? Silvio Berlusconni alikuwa Waziri mkuu Italia na alikuwa mmiliki wa Ac Milan
Usitukane bhana...utafanya shemeji adi-sconnect wireless alafu watu wakimbie jamvi....Rais mstaafu anaambiwa ana kiherehere na mbuzi mmoja anaeishi kwa shemeji,mikia kuna mataahira wengi sana.
Hakuna kiongozi wa kiserikali mwenye utayari wa kuichafua heshima yake kwa kushiriki meza moja na Mambumbumbu.Kwani mkuu anajipeleka tu au wanamuita na kama wanamuita je.Simba iliwai muita akakataa?
Ndugai angekuwa shabiki wa Yanga nisingeshabikia Yanga mpaka Jamaa adanje...Mikia inawauma sana kuona JK kipenzi wa cha Watanzania kuwa Yanga kindakindaki, huku wao mikia wana Ndugai chukizo kwa Watanzania.
sio la mkaa!
Thamani ya Gentamycine ni gunia moja la ufuta?.
Signal zinakuwa weak sio!!!Kuna mda dish lako hua E-32
Sio kweli, kucheza tu ktk ngazi ya Club Bingwa Afrika au Shirikisho ni mafanikio.Mafanikio kwa mshabik ni timu kuchukua kombe , unless uwe na share kwenye timu utakua unafaidika
Wewe ndo una kiherehere kama una mimba changa.Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Ukosefu wa adabu uwe na mipaka.Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Ukiwa mjinga utabaki mjinga TuMarehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
tar 3 ndio hiyo,na mmesha pigwa kimoko.Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Shida nini kama ninyi Tu mo mlimteka na kumlazimisha atoe mambo Kwa simbwa simbwa mkamvisha na kitengeHaya sasa tumejua ' GSM ' ni yake 100%.
Yaani Jakaya Mrisho Kikwete ana kiherehereMarehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Sikutegemea Gentamycine legendary jf uandike upumbavu huu!Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa (RIP) alikuwa ni Simba SC "lia lia' ila hakuwa na 'Kiherehere' alichonacho Rais Mstaafu Kikwete kwa Yanga SC.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Mwinyi ni Simba SC 'ndaki ndaki' ila hakuwa na 'Kiherehere' kwa Simba SC kama ulivyo Rais Mstaafu Kikwete.
Mheshimiwa Rais Mama Samia ni Simba SC 'lia lia' kabisa ( japo Mumewe Hafidh Ameir ) ni Yanga SC hasa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika Ndugai na Naibu wake Tulia nao ni Simba SC wa uhakika, ila huwezi kuwakuta wanakuwa na 'Viherehere' vya Kuhudhuria mara kwa mara Vikao au Mikutano ya Simba SC kama afanyavyo Raia Kikwete.
Hatimaye sasa kutokana na 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC na Uongozi wa Yanga SC nao Kukutumia Wewe kama 'turufu' yao ya Kuvutia Wanachama wengi walioichoka Yanga SC Mikutanoni SIRI imefichuka kuwa kumbe Wewe ndiyo Mmiliki ( mwenye Kampuni ya GSM ) ila umeamua 'Kumpandikiza' Gharib na akina Injinia Hersi Said kama 'Kutuzuga' Watu ila Wazee wa Kufukunyua na Kudadisi mambo akina GENTAMYCINE tumezinyaka hizi kwa Watu wa karibu na Uongozi nchini.
Halafu Rais Mstaafu Kikwete sikuona sababu yoyote ile ya Wewe Kumjibu 'Kidharau' na kwa 'Chuki' vile Mtangazaji Ahmed Ally wa Azam TV alipokuwa anakuuliza Maswali ukiwa unaingia Ukumbini kama sehemu yake ya Kutekeleza Wajibu wake kama Mwandishi wa Habari. Ulichofanya Rais Mstaafu Kikwete ni Ushamba anbao Mtu kama Wewe hukupaswa Kuufanya.
Umeshastaafu Urais wa Tanzania sasa sijui ni Kitu Kingine ambacho Kikwete unakitaka na bado tu hujaacha ile tabia yako ya Kulazimisha Kupendwa, Kuabudiwa, Umaarufu na Kuzungumzia ukijidanganya kuwa bado unakubalika na Watanzania wakati Ukweli ni kwamba kwa 'Intellectuals' wala hukubaiiki ila kwa wale 'Lumpen Proletariets' wengi wanaopatikana huko Yanga SC na Kwingineko nchini ndiyo Wanakukubali ( Wanakupenda )
Tafadhali Rais Mstaafu Kikwete hebu pumzika kama walivyopumzika Waandamizi Wenzako wengi ( ambao ni wana Simba SC hasa tu ) na hiki 'Kiherehere' chako cha Kujifanya unaipenda mno Yanga SC 'mrithishe' Mwanao Kipenzi Ridhiwani kwani hata kwa Umri wake inapendeza ila siyo Wewe Mkongwe ( Mzee ) sasa.
Tarehe 3 na 25 July, 2021 mtatafutana!!
Jamaa siku hizi za karibuni anaandika vitu utadhan Kuna mtu kaiba pass key yake,ngoja atarudi tunaye mjua.Sikutegemea Gentamycine legendary jf uandike upumbavu huu!
Ulifikiria sawasawa au umetumwa?
Kila mtu ana haki ya kuishi apendavyo I'll mradi asivunje sheria
Mbona hujamzungumzia Job ndugai alipoizungumzia simba na kuiponda yanga mbele ya kikao cha bunge?
Acha chuki isiyo maana utakufa mdomo wazi.
Kwa uzi huu nakutoa thamani