Rais, kwa mara nyingine unatukosea Watumishi wa Umma nyongeza ya mshahara

wewe ni mchawi
 
watumishi wa levels za kawaida wanapitia magumu sana
wenzetu walioendelea wanalipaa house allowance
transport allowance
hivi kama vingewekwa vingewapunguzia ukali wa maisha kwa sababu ndipo muda wao wa maisha unapoishia mm mijitu inayokejeli watumishi uwa inanikeraga sana
 
Niko kazini kwangu hapa. Watumishi wameishiwa hamu ya kazi. Wamekata tamaa.

Mama unaua taifa. Ahadi unatoa lakini hutimizi. Nyongeza ya mshahara haipo.

Mungu anakuona.
Waache ujinga sisi wenyewe atujaongezewa kitu na tutaenda na mama adi 2030
 
Uko sahihi kabisa. Na ni haki yake kudai. Nilichokifanya mimi ni kumkumbusha ty kubadili huo mtazamo wake.
Maana katika nchi zetu za ulimwengu wa tatu, watumishi wa umma wanachukuliwa kama manamba tu. Hivyo ni bora na wenyewe wakajiongeza.

Haileti mantiki mbunge mwenye sifa ya kukua tu kidoma na kuandika alipwe milioni 12 kwa mwezi, halafu mtumishi wa umma alipwe laki kadhaa tu kwa mwezi, huku akifanyishwa kazi kwa muda mrefu na katika mazingira magumu.
 
Watumishi mnapenda kulalamika hamna subra ,hetu tulieni kwanza muwe na subira msiwe wepesi wa kulaumu
 
Ndiyo maana watoto wao hawasomi kwenye hizo shule
 
Msubiri hela za kusumamia achaguzi🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…