Voice of Voiceless
Member
- Oct 26, 2014
- 24
- 5
Ndiyo maana kila kukicha kila mmoja anataka kuwa Rais, kwa sababu urais hapa Tanzania umefanywa kuwa "RAHISI"
Mbilikimo wa fikra ni wewe uliyekuja na uzushi na kupindua pindua maneno. Umeulizwa swali na Pasco ukapinduwa pinduwa.
Unajuwa maana ya "kuzuiliwa kuingia"? amezuiliwa airport ipi ya Denmark au mpaka upi wa Denmark?
Hivi unafikiri watu wote humu ni mapunguani kama wewe?
Watakao-kuunga mkono kwenye huu upotoshaji ni mapunguani wenzako tu, wasiojielewa kama wewe.
Wewe ndiyo wale wale "viwanda vya uongo".
Punguani wahed.
Yamejuzu wewe ndio hujuwi kiswahili fasaha, Pata Darsa kidogo
HA, wewe wamemuogopa na kweli kawatisha maana ni mwenyekiti wa chama cha mafisadi waliokubuhu na wanaosifika kwa uchakachuaji, jamaa wahataki kuambukizwa ujinga, asijewafunza kuiba hela za kununua kura kuingia ikulu, amefukuzwa ni aibu.Kikwete anatisha!
Hata uzunguni wamemuogopa? Kuwa anaweza kuwa kichocheo cha wazungu kumpigia kura amtakae yeye.
Kwa hakika hii ni sifa kubwa sana na ni historia kama ni kweli.
Kwani nani kakudanganya kuwa safari za rais ni matumizi mabaya ya Ikulu?Ifike mahali bunge lihoji matumizi mabaya ya IKULU na safari za mheshimiwa Rais, ni fedheha na aibu sana!!!!
Kwa kawaida wengi wanatamani kuwa Marais. Ila anayejaaliwa na Mungu ni mmoja tu. babu Slaa pamoja na umri wake kwenda anatamani kuwa Mkuu wa nchi. Mbowe pamoja na kutojua kusoma na kuandika anatamani kwenda IkuluNdiyo maana kila kukicha kila mmoja anataka kuwa Rais, kwa sababu urais hapa Tanzania umefanywa kuwa "RAHISI"
Na ww mama yako kakuzalia wapi?ndio akome kutangatanga nchi za watu, amezidi kuzurura...utadhani mama yake alimzalia njiani.
Watu wa huko wana MISIMAMO...yaani hata awe nani ? PRINCIPLE ina heshimika.......Nami nimejiuliza Sana angekuwa Obama angezuiliwa??
Watanzania wenzangu tujisifu kupata rais makini kiasi hiki.Rais Wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete amezuiliwa kuingia Denmark kutokana na vuguvugu la uchaguzi nchini humo baada ya kubainika kuwepo kwake kungempa nafasi zaidi ya kuonekana waziri mkuu Wa sasa kitendo kilichotafsirika Kama kumpigia kampeni.
RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga washirika wa mandeleo katika nchi za Scandinavia, amekataliwa kuingia Denmark kwa madai kuwa ziara yake itatumika kisiasa kumnufaisha Waziri Mkuu wa sasa wa Denmark.
Nchi hiyo inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wiki ijayo. Zuio hilo limekuja baada ya vyombo vya habari na vyama vya siasa kudai kuwa ziara hiyo ingetumika kumnufaisha Waziri Mkuu aliyepo kwa kumpa muda wa ziada mbele ya vyombo hivyo wakati huu wa kampeni.
Vyama vyote vya kisiasa vinapata muda sawa mbele ya vyombo vya habari na kwa hiyo uwepo wa Rais Kikwete nchini Denmark ungesababsha Waziri Mkuu aliyepo madarani kuonekana mara nyingi akimpokea mgeni wake.
Rais Kikwete hivi karibuni amefanya ziara katika nchi za Finland, Sweden, Uholanzi ikiwa ni sehemu ya kuaga kutokana na muda wake wa kuwa madarakani kufikia ukingoni.
MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....
Nami nimejiuliza Sana angekuwa Obama angezuiliwa??
Nashangaa amewaambia watanganyika waishio Finland kuwa kutakua na kura ya maoni na uchaguzi mkuu wakati hapa nyumbani hawatuambii hayo hasa kuhusu katiba mpya iliyotafuna mabilioni ya shilingi!!!!
Rais Wa Tanzania ndugu Jakaya Mrisho Kikwete amezuiliwa kuingia Denmark kutokana na vuguvugu la uchaguzi nchini humo baada ya kubainika kuwepo kwake kungempa nafasi zaidi ya kuonekana waziri mkuu Wa sasa kitendo kilichotafsirika Kama kumpigia kampeni.
RAIS Jakaya Kikwete ambaye amekuwa katika ziara za kuaga washirika wa mandeleo katika nchi za Scandinavia, amekataliwa kuingia Denmark kwa madai kuwa ziara yake itatumika kisiasa kumnufaisha Waziri Mkuu wa sasa wa Denmark.
Nchi hiyo inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wiki ijayo. Zuio hilo limekuja baada ya vyombo vya habari na vyama vya siasa kudai kuwa ziara hiyo ingetumika kumnufaisha Waziri Mkuu aliyepo kwa kumpa muda wa ziada mbele ya vyombo hivyo wakati huu wa kampeni.
Vyama vyote vya kisiasa vinapata muda sawa mbele ya vyombo vya habari na kwa hiyo uwepo wa Rais Kikwete nchini Denmark ungesababsha Waziri Mkuu aliyepo madarani kuonekana mara nyingi akimpokea mgeni wake.
Rais Kikwete hivi karibuni amefanya ziara katika nchi za Finland, Sweden, Uholanzi ikiwa ni sehemu ya kuaga kutokana na muda wake wa kuwa madarakani kufikia ukingoni.
MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....
Umesoma kilichoandikwa au umekurupushwa usingizini?Kwani nani kakudanganya kuwa safari za rais ni matumizi mabaya ya Ikulu?
Nadhani wewe ndiye uliyesomea ujinga!!!
JK kama mwenyekiti atakayeongoza vikao vya maamuzi lazima apitie hayo mafaili ile awe na uelewa mkubwa kabla maamuzi kutolewa!! Haiwezekani mambo yaliyomo katika mafaili yamchukuwe by surprise!!!!!
Waandishi wa Bongo ni famba for the most part, mimi nimeshangaa kumuona Ephraim Kibonde eti mshereheshaji wa tafrija ya Lowassa ya kutangaza nia akichombeza "safari ya matumani oyeee!" sikuamini. Nikajiuliza hivi waandishi wa Bongo wana wazimu?MY TAKE:
Vyombo vya habari hapa kwetu vijifunze kutoka kwa Wenzetu viache ushabiki na viweke mizani sawa kwa wagombea na vyama vyote.....
Hajui tofauti ya matumizi ya kiambishi 'Wa' na ' a'
Pinduwa=Pindua
Unajuwa=Unajua
Udhaifu wako uko kwenye matumizi ya "w"!
Shuleni ulikuwa mtoro wewe