Mkuu yupo SA tangu lini?
Sasa wakati anakwenda hakujua kama kuna uchaguzi?
Ulimbukeni ni shidaaa!!!!Mafaili gani wewe? na hao watangaza kura wote wanajulikana na wengi kama si wote yeye ndiyo bosi wao kwa sasa, labda atokee asiyejulikana.
Hata iwe kuna mafaili, hivi mnafikiri siku hizi bado watu wanakimbizana na mafaili ya makaratasi? Ofisi sasa hivi ni popote.
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
huo ni UTAMADUNI wetu !! tunapenda kuomba KUKARIBISHWA,KUSALIMIA,KUSHUKURU na KUAGA mda mwingine tunalazima FADHILA !!hahahahhaa aje na Jamii Forum kuaga hahahahahaahaa kweli ndio maana kila mtu kakimbilia kuaga
Kuchaguwa=Kuchagua
Wewe unachojua ni L na R tu,jifunze!
Watanzania wenzangu tujisifu kupata rais makini kiasi hiki.
Kama Tume ya Uchaguzi ya Denmark imehofia kuwa rais wetu Kikwete akiingia Denmark kipindi hiki cha uchaguzi basi anaweza kusababisha raia wa Denmark wampigie kura mgombea ambaye atakuwa na rais Kikwete.
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Kikwete.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU, vipi hujamsoma vizuri lusungo!?Itafika wakati wazungu wataandamana kumzuia JK kuzurura nchini mwao,kazidi
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Sasa hayo maneno yaandike kama ulivyoandika wewe halafu tamka mara tatu kwa sauti huku unajisikiliza, jibu utalopata. Ucheke tu wewe mweyewe, huna haja ya kunielezea, nnalijuwa.
Ulimbukeni ni shidaaa!!!!
Vikao vinaendeshwa kwa makaratasi na mafaili na siyo laptops na smartphones!!!
Tamka kwa sauti hilo neno ulivyoandika mara tatu huku unajisikiliza, jibu baki nalo, mimi nnalijuwa.
Huwa sikisii.
Tabia za mkwere hizo,yeye anaona sifa kutwa nzima anazurura
Tamka kwa sauti hilo neno ulivyoandika mara tatu huku unajisikiliza, jibu baki nalo, mimi nnalijuwa.
Huwa sikisii.