Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Sasa nyimbo imebadilika, si mafaili tena ni vikao? Unanchekesha!

Hivyo vikao vya CCM unajuwa vipo lini? na uliona kikao kinachohitajika Mwenyekiti kuwepo akakosekana?

Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga? mnasikitisha sana jinsi mlivyo finyu wa kuelewa.

Sio nyimbo imebadilika, ni wimbo umebadilika
 
What a shallow reason! Mleta mada unahitajika kuthibitisha ili tuamini maana sababu hii haiingii akilini hata kidogo. Rais kila y kuna safari in kuwa imepangwa muda mrefu sana na nina hakika walijua kipindi hicho kutakuwa na uchaguzi.
 
What a shallow reason! Mleta mada unahitajika kuthibitisha ili tuamini maana sababu hii haiingii akilini hata kidogo. Rais kila y kuna safari in kuwa imepangwa muda mrefu sana na nina hakika walijua kipindi hicho kutakuwa na uchaguzi.

Alikua anataka kumfanyia sapraaaaizi!!
 
kujidanganya huku ndiko huwa kunatupotosha.

hoja sio raisi wetu ana nguvu ya kushawishi watu kule wampigie kura bali ugeni katika kipindi hiki unaweza unaweza kumpa raisi nafasi ya kutupa makombora mengi kwa wapiga kura kupitia ziara ya viongozi.

lakini unahitaji busara sana kulichambua hili maana linaweza kuwa na lugha ya kidiplomasia lakini pengine sababu zake zinaweza kuwa ukizijua unachukia kabisa. ukitafakari yaliyowakumba wanaofanana na sisi tena wenye msaada mkubwa kule kwenye viwanja vya mpira kutokana na kufanana na sisi wapo wanaoweza kutotake chances, anything can happen at this time na inaweza kuingilia mzani wa uchaguzi.

hivyo kwa kuwa hatujui undani tusijisifie au kulaumu bali kukubali matokeo tu kama yalivyo.
Unataka kuniambia sasa hivi Denmark ni marufuku kuingia sababu ya uchaguzi? Sasa kwa nini rais Kikwete peke yake ndio aonekane anaweza kusababisha mgombea akaishinda uchaguzi kama akiambatana naye...umeishajiuliza kwa nini iwe kwa rais Kikwete tu.

Tafakari kijana.
 
Tamka kwa sauti hilo neno ulivyoandika mara tatu huku unajisikiliza, jibu baki nalo, mimi nnalijuwa.

Huwa sikisii.

mbona wewe unaubishi usio na maana ina maana wewe mbwa unatamka mmbwa kwa sababu ndivyo sauti inavyosikika unapotamka acha hizo mama sijui ulikula maharage ya wapi
 
ndio maana nikakumbia pia kuwa inaweza safari yake kuonekana ingeleta negative impact lakini ikatumika lugha ya kisiasa lakini hizo ni speculation hasa unaposema kwa nini yeye?

jiulize mwenye how raisi wetu anaweza kuwa na impact kwa wapiga kura kule ingawa mzania unaweza kulalia kwenye negative side than positive.

Unataka kuniambia sasa hivi Denmark ni marufuku kuingia sababu ya uchaguzi? Sasa kwa nini rais Kikwete peke yake ndio aonekane anaweza kusababisha mgombea akaishinda uchaguzi kama akiambatana naye...umeishajiuliza kwa nini iwe kwa rais Kikwete tu.

Tafakari kijana.
 
What a shallow reason! Mleta mada unahitajika kuthibitisha ili tuamini maana sababu hii haiingii akilini hata kidogo. Rais kila y kuna safari in kuwa imepangwa muda mrefu sana na nina hakika walijua kipindi hicho kutakuwa na uchaguzi.

Kama unataka udhibitisho muulize fastjet mwenyewe. .sisi hatuna haja ya udhibitisho kwakua tunamjua
 
Sidhani kama kuna rais aliyepiga per diem za kutosha kuliko huyu! Yaani hawa wadau wa maendeleo waliokwamisha kutekelezwa kwa bajeti juzi, leo anazunguka kuwaaga wakati juzijuzi kasema nchi ina heshima yake na haiwezi kubabaishwa na wafadhili!?

Huku ni kutalii tu na kufuja pesa za umma. Hawa wafadhili kwasasa hawana interest na JK. Macho yao yote yapo kwa rais ajaye. Kwanini anapoteza pesa bure kwa ziara zisizo na sababu wala maslahi kwa taifa? Kwani hawezi kuaga kupitia mabalozi au njia zingine za mawasiliano? Aibu yetu hii sisi ngozi nyeusi.
 
JK; hod humu.
Denmark; who are you?
JK; am the president of Tanzania.
Denmark; where are u going?
JK; Ha-ha-haa...(blablaa)
Denmark; be serious mr. president!!
JK;you know,..eeh.am coming to bid farewell.
Denmark; No way, we ar dealing with serious issues.come aftr three monthz.
JK; Hatuwez kuchakachua? i mean to manipulate.
Denmark; ar yo really the president of tz? We ar not of that shit busness.ok?

Ha ha haaaa loh inabidi tu arudi nyumbani uso ukiwa umeshushuka.
 
We must learn something here.. There is no democracy in Africa countries
 
mbona wewe unaubishi usio na maana ina maana wewe mbwa unatamka mmbwa kwa sababu ndivyo sauti inavyosikika unapotamka acha hizo mama sijui ulikula maharage ya wapi

Wewe nnauhakika shule ulienda kusomea ujinga> kama sivyo, basi ujinga upo kwenye "genes" zako kama lusungo.
 
Last edited by a moderator:
kinachonisikitisha zaidi anatumia pesa zetu za kodi kwenye hiyo mizunguko yake..imetosha sasa nasubiria october kwa hamuuu..
 
Sio nyimbo imebadilika, ni wimbo umebadilika

Aisee hili neno "wimbo" kwangu inakuwa vigumu kulitamka, kwani mbele ya nyumbani kwetu nilipokulia ni shule ya Mnazi Mmoja, uzio wa shule ya mnazi mmoja kwa uoande wa sasa ambapo pamejengwa kile kitega uchumi cha bakwata, kilikuwa ni kiwanja chenye miti na manyasi marefu mengi na kwenye uzio wa shule kwa uoande huo palikuwa panaitwa "wimbo" ktuokana na jina "Wimbley". Hicho kilikuwa kijiwe cha wavuta bangi maarufu sana kwa wakaaji wa Kariako au wa Dar enzi hizo hakuna asiyejuwa hilo.

Sasa huo msamiati wa "wimbo" huniwia vigumu Kisaikolojia kupataja taja, kwenye ubongo wangu bado ni sehemu isiyo stahiki.

Ntajitahidi kujirekebisha.
 
Back
Top Bottom