Kikwete anatisha!
Hata uzunguni wamemuogopa? Kuwa anaweza kuwa kichocheo cha wazungu kumpigia kura amtakae yeye.
Kwa hakika hii ni sifa kubwa sana na ni historia kama ni kweli.
Sidhani kama kuzuiwa kuingia nchi fulani ni sifa nzuri hasa kwa mkuu wa nchi, tukio hili ni fedheha nafikiri hata yeye amejisikia vibaya.Kikwete anatisha!
Hata uzunguni wamemuogopa? Kuwa anaweza kuwa kichocheo cha wazungu kumpigia kura amtakae yeye.
Kwa hakika hii ni sifa kubwa sana na ni historia kama ni kweli.
Sidhani kama kuzuiwa kuingia nchi fulani ni sifa nzuri hasa kwa mkuu wa nchi, tukio hili ni fedheha nafikiri hata yeye amejisikia vibaya.
Nchi za wenzetu zinafuata demokrasia ya kweli, zinatoa nafasi sawa ya coverage kwa vyama vyote hata vile vidogo kitendo cha yeye kualikwa na chama tawala wakati huu wa uchaguzi na kuoneshwa kwenye media za taifa kungetafsiriwa kama kampeni.
Demokrasia hiyo haipo Tanzania.
Sidhani kama kuzuiwa kuingia nchi fulani ni sifa nzuri hasa kwa mkuu wa nchi, tukio hili ni fedheha nafikiri hata yeye amejisikia vibaya.
Nchi za wenzetu zinafuata demokrasia ya kweli, zinatoa nafasi sawa ya coverage kwa vyama vyote hata vile vidogo kitendo cha yeye kualikwa na chama tawala wakati huu wa uchaguzi na kuoneshwa kwenye media za taifa kungetafsiriwa kama kampeni.
Demokrasia hiyo haipo Tanzania.
Hebu muoneeni Huruma jamani JK inamgharimu Sana kuzungukwa na mbilikimo Wa fikra Kama nyinyi!!!!
Kama ameambiwa aende baada ya uchaguzi kwa hiyo kubaliana kiungwana tu na mleta mada kuwa kazuiwa maana asingezuiwa leo angekuwa Denmark.Wewe unasikiliza porojo za mleta mada? sanasana itakuwa ameambiwa aende ukisha uchaguzi kidiplomasia.
Yeye ni mwenyekiti Wa chama na rais Wa nchi...
lazima ajpe muda Wa kuwachunguza na kuwasoma kiundani watia nia Wa chama chake
Leo umebanwa kwenye kona mkwere wako amechezwa shere!!!