Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

CCM tayari ina muundo wake wa kuchaguwa watia nia na si lazima Rais ayapitie - Kumbuka hilo.


Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?

Kuchaguwa=Kuchagua
Wewe unachojua ni L na R tu,jifunze!
 
Hela za posho kwa walimu wapya hakuna! za kwenda kuaga zipo!!!!
Fedha za kulipa madai ya wafanyakazi hazipo! Fedha za kulipa wakandarasi ambao wanakabiliwa na vitisho vya kufilisiwa na mabenki hazipo!!

Lakini fedha za kwenda kuaga washikaji zipo bwelele!!!! Nchi ya ajabu sana hii!!!!
 
Inasikitisha, na inatia aibu kwa kweli. Mimi nilidhani haya mambo yana pangwa mapema, na sio kumdhalilisha mkuu wetu namna hii

Kadhalilishwa na nani mkuu? Matendo yako yanakudhalilisha.
 
Wazungu huwa wanatushangaa sana nafikiri wanashangaa zaidi rais wa nchi nyingine kupoteza muda kuaga wananchi wa nchi nyingine ambao hawakumpigia hata kura moja, kazi hii inatakiwa kufanywa na balozi zetu au kama ni lazima basi waziri wa mambo ya nje angewakilisha.

Hakukuwa na haja ya rais kuzunguka dunia angetumia muda huu kukagua ahadi zipi alizoahidi hazijatekelezwa na nini kifanyike.
Well Said !!
Mmmh na bado tunawasubiri waje huku kuaga.....!!! na baadae waende kuaga huko Far-east, Australia na Japan
lusungo tpaul Elli TAWA
 
Last edited by a moderator:
Yule mama aliyekuwa busy kupiga selfie kwenye msiba wa Mandela ndo waziri mkuu wa Dernmark?pole Raisi wetu inaonekana hauna umuhimu kwao,angekuwa OBAMA asingezuiliwa,hiyo kampeni ni mbwembwe tu,sema WAZIRI MKUU YUPO BUSY NA KAMPENY KAONA ATAPOTEZA MUDA WAKE TU
 
Ifike mahali bunge lihoji matumizi mabaya ya IKULU na safari za mheshimiwa Rais, ni fedheha na aibu sana!!!!
 
Fedha za kulipa madai ya wafanyakazi hazipo! Fedha za kulipa wakandarasi ambao wanakabiliwa na vitisho vya kufilisiwa na mabenki hazipo!!

Lakini fedha za kwenda kuaga washikaji zipo bwelele!!!! Nchi ya ajabu sana hii!!!!


Nashangaa amewaambia watanganyika waishio Finland kuwa kutakua na kura ya maoni na uchaguzi mkuu wakati hapa nyumbani hawatuambii hayo hasa kuhusu katiba mpya iliyotafuna mabilioni ya shilingi!!!!
 
NIMEFURAHI SANA, WAMEONA MTU MWENYWE KABAKIZA MIEZI MI4 AACHIE MADARAKA , WA NINI
AMANZA KUIONA CHUNGU YA KUTOKUA RAIS HATA KABLA YA KUMALIZA:typing:
 
Hizi habari bila member mwenzetu. FaizaFoxy kuthibitisha siwezi kukubali kuzisoma
 
Last edited by a moderator:
Yule mama aliyekuwa busy kupiga selfie kwenye msiba wa Mandela ndo waziri mkuu wa Dernmark?pole Raisi wetu inaonekana hauna umuhimu kwao,angekuwa OBAMA asingezuiliwa,hiyo kampeni ni mbwembwe tu,sema WAZIRI MKUU YUPO BUSY NA KAMPENY KAONA ATAPOTEZA MUDA WAKE TU


Nami nimejiuliza Sana angekuwa Obama angezuiliwa??
 
NIMEFURAHI SANA, WAMEONA MTU MWENYWE KABAKIZA MIEZI MI4 AACHIE MADARAKA , WA NINI
AMANZA KUIONA CHUNGU YA KUTOKUA RAIS HATA KABLA YA KUMALIZA:typing:


Sasa hivi itabidi apige zoezi la kutembea bila king'ora ili azoee!!!
 
Back
Top Bottom