Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Rais Kikwete azuiliwa kuingia Denmark

Wenzetu wako makini na wanacho kifanya hakuna hata chembe ya ubabaishaji. Tunapaswa kujifunza kupitia wenzetu.
 
Hivi bajeti ya Rais 2014-2015 iliandaliwa kwa Rais kwenda kuaga wahisani?
Tufikie mahali Watanzania tusiingie gharama zisizo za lazima.CCM ndipo walipotufikisha
 
CCM tayari ina muundo wake wa kuchaguwa watia nia na si lazima Rais ayapitie - Kumbuka hilo.


Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Nadhani wewe ndiye uliyesomea ujinga!!!
JK kama mwenyekiti atakayeongoza vikao vya maamuzi lazima apitie hayo mafaili ile awe na uelewa mkubwa kabla maamuzi kutolewa!! Haiwezekani mambo yaliyomo katika mafaili yamchukuwe by surprise!!!!!
 
Hivi bajeti ya Rais 2014-2015 iliandaliwa kwa Rais kwenda kuaga wahisani?
Tufikie mahali Watanzania tusiingie gharama zisizo za lazima.CCM ndipo walipotufikisha


Nakumbuka mwaka Jana Kama sikosei wabunge walilalama Sana juu ya bajeti ya kuaga ilivyo kubwa!!!
 
"waage" ili iweje? ni mandondocha ya kitanzania tu ndiyo yanajipendekeza kwenda kuaga. nchi hii ni kama vile inaongozwa na wendawazimu.

fungu la safari linamuuma. inabidi ali enjoy hvohvo mwishoni
 
Nasikia yupo South Africa, hivi hizi safari zake zimeshafikia ngapi mpaka sasa?

Idadi ya safari za huyu jamaa hata salva pale ikulu itampa shida sana kujibu kwa usahihi, ona sasa mtu kazuiwa kuingia Denmark lakini hapo hapo hakutaka kurudi nyumbani kesha enda south africa, huyu jamaa ilikuwa aumbwe kunguru tu.
 
Inaelekea hakua nao, labda alimpigia cm akiwa airport kuwa kazuiwa, na akaambiwa ni sawa kabisa. Uswahili hauna mipaka ukikozoea basi utaambatana nao tu.

Inasikitisha, na inatia aibu kwa kweli. Mimi nilidhani haya mambo yana pangwa mapema, na sio kumdhalilisha mkuu wetu namna hii
 
Nadhani wewe ndiye uliyesomea ujinga!!!
JK kama mwenyekiti atakayeongoza vikao vya maamuzi lazima apitie hayo mafaili ile awe na uelewa mkubwa kabla maamuzi kutolewa!! Haiwezekani mambo yaliyomo katika mafaili yamchukuwe by surprise!!!!!


Huyo FaizaFoxy kumpa fikara kubwa ni Kama mjeledi kwa farasi ulivyo lijamu kwa punda!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rais Wa nchi halazimiki kuwa na mwaliko pia ziara hii ni yeye ndo kajipeleka ati kuwaaga wahisani wetu....

So hakuitwa kaenda mwenyewe kwa mapenzi yake.....

So kua Rais ndo unaweza kwenda ncho yyte muda wwte bila kujali ratiba?aende huko
 
Lakini wahisaniwa si marafiki? Kama wanatupa hisani maana yake ni marafiki zao why hawaji kutuaga Kama mkulu anavyofanya?
Tulienda kuwaomba watusaidie, hawakuja kutuomba watusaidie.

After all, wapo busy, sisi hatupo busy kiiivooo!!!
 
Tulienda kuwaomba watusaidie, hawakuja kutuomba watusaidie.

After all, wapo busy, sisi hatupo busy kiiivooo!!!


Watakua wanaulizana "hivi hakuna changamoto zakushughulikia huko kwake?"
 
Back
Top Bottom