Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,468
Kikwete amesoma Kibaha Secondary shule ya Scandinavians,kwa hiyo,yes,akifika kule anaweza kutumika kisiasa.
DuhHakuwa na mualiko??!!!
Daaah kumbe magufur tuna mpakazia tu kaharibu uchumi.Alishapitia faili gani huyu? Hana huo muda ndio maana katufikisha hapa tulipo we huoni sasa kila mtu ni msemaji wa serikali, angekuwa anapitia mafail asingekuwa anatoa maamuzi ya hovyo, kura ya maoni haikuwa kazi yake lakini karopoka iko wapi? Huu muda angeutumia kuwaomba radhi watanzania kwa kuwadhoofisha kiuchumi wakati rasilimali zetu zinazidi kwisha.
Wa Tanzania vigeu geu leo hii magufur kwanini hapendi kwenda kwa wazunguTabia za mkwere hizo,yeye anaona sifa kutwa nzima anazurura