Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 593
Mbeya wasikieni tuu, huwa hawamaanishi vitu vingi wanavyofanya, ukitaka kujua UKWELI wafuatilie baada ya hivyo vilio utacheka.
" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Fte%2F1%2F16%2F1f622.png&hash=2c915439f1fca93c03a097440b7c8b75" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> " title="" width="" height="" />Nyerere aliacha Wosia, Mkapa aliacha kitabu na Magufuli ameacha makaburi...... RIP Azory Gwanda RIP Ben Saanane " data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Fte%2F1%2F16%2F1f622.png&hash=2c915439f1fca93c03a097440b7c8b75" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> " title="" width="" height="" />" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Fte%2F1%2F16%2F1f622.png&hash=2c915439f1fca93c03a097440b7c8b75" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1"> " title="" width="" height="" />
Unaonea wivu maiti ,......!!??Mbn mbeya hamna kitu kama hicho shughuli zinaendelea kama hakijatokea kitu
Maombolezo yanayofanyika kwenye barabara za Dar unapopita mwili wa marehemu yanatisha na sio ya kawaida.
Kweli watu wa Mbeya ni waombolezaji wazuri lakini hata hapa Dar shughuli bado ndio inaanza. Hata hao wa Mbeya wapo pia Dar.Ni kweri ila ya Mbeya yanatia simanzi zaidi.
Njemba kugalagala Dar bado sijaona.
DaaahHUWAJUI WATU WA MBEYA WEWE. WATU WA MBEYA WAKIFIKA MSIBANI WANAWEZA KULIA SIKU NZIMA HALAFU BAADAYE NDIO WANAULIZA NANI KAFA.
MIMI NAIJUA MBEYA KUANZIA Iganzo, Ikuti, Uyole, Iwambi, Isanga, Kabwe, Airport ya zamani, Kalobe, Iyunga, Ifisi n.k
HAO WATU NI WASANII SANA.
Analia na mengi uteuzi holela umeishaMkuu wa wilaya kushindwa
Huyu mkuu si ndo alikuwa anasema jiwe ni mzima wakati anaaumwa????Mabibi na mabwana hii clip inajieleza yenyewe:
View attachment 1729841
Mkuu wa wilaya kushindwa kujizuia? Watu kushindwa kulala?
Kwa hakika tumepatwa msiba mzito.
Ya Mbeya yanajieleza waziwazi. Niongeze nini zaidi?
Poleni wana Mbeya. Poleni wana Chatto. Poleni watanzania.
Kalale pema peponi JPM.
Daima tutakukumbuka.
Umenena mkuu, umesahau Mama joniHUWAJUI WATU WA MBEYA WEWE. WATU WA MBEYA WAKIFIKA MSIBANI WANAWEZA KULIA SIKU NZIMA HALAFU BAADAYE NDIO WANAULIZA NANI KAFA.
MIMI NAIJUA MBEYA KUANZIA Iganzo, Ikuti, Uyole, Iwambi, Isanga, Kabwe, Airport ya zamani, Kalobe, Iyunga, Ifisi n.k
HAO WATU NI WASANII SANA.
Ndugu yangu. Elewa kwamba akili ziko tofauti. Kiufupi kila mtu ana kalama yake.Akili zako zinakutuma Magu ndo alikuwa mungu wa Tanzania?
Acheni uchawi, hatima ya watanzania iko mikononi mwa watanzania. Ujinga wetu ndio ulitufikisha hapa tukiamini Magu ndo alikuwa chaguo la Mungu...
Magu kaondoka Tanzania iko palepale, watanzania wako palepale...
Mfano viongozi wanapoendelea kutochukua tahadhari dhidi ya Corona, ambao matokeo yao yanaweza kuwa kifo, hawawezi kuzuiwa?Nadhani hujui majukumu ya TISS. kazi yao si kuzuia kifo, ni ku provide ulinzi wa taifa.
kifo kikija there is no escape.. not even TISS wanaweza kuzuia
Unataka kusemaje? Majira yanabadilika, msihusishe kila kitu na siasa. Mwaka jana mwezi huu kulikuwa na mvua... Mwaka juzi kulikuwa na jua. Arusha juzi kuamkia jana kuna maeneo mvua ilipiga vizuri tu na kwingine rasha rasha.Kwa heri Magufuli uliingia mvua zinanyesha ndani ya Utawala wako mvua zilinyesha za kutosha panapo msimu unaondoka mvua hazionyeshi japo ni msimu kinabii sijui uhashiria nn hii.Mida hii ukanda wa pwani mvua huwa tele.
ACHA hizo ndugu jua misimuKwa heri Magufuli uliingia mvua zinanyesha ndani ya Utawala wako mvua zilinyesha za kutosha panapo msimu unaondoka mvua hazionyeshi japo ni msimu kinabii sijui uhashiria nn hii.Mida hii ukanda wa pwani mvua huwa tele.
Well they cant especialy wao ni askati so they follow orders. Wanaweza kumuelezea kiongozi kuwa kuna hatari fulani.. lakin kama kiongozi hataki, or kiongozi anaona sio hatari. watamuacha afanye anavyojuamfano viongozi wanapoendelea kutochukua tahadhari dhidi ya Corona,ambao matokeo yao yanaweza kuwa kifo,hawawezi kuzuiwa?