Raha ya Ubazazi/Cheating!... (?)

Raha ya Ubazazi/Cheating!... (?)

It depends...if only sex was involved (which happened by coincidence) then may be I can forgive thats depends on our relationship too...but if he had relationship with that other woman, that will be it......
 
Asante Kaizer ila tu usinikaribishe kilichopo kny avatar yako:smile-big:


Orait Orait....wala mi nisingekukaribisha bila ridhaa yako...knowing there are far better options for you than that...you just say it and its done:welcome:
 
hahaha kama hujagraduate utajikuta kwenye mazingira hayo lakini ukifata katiba yetu wala......:becky: (halafu inabidi usiwe mwepesi wa kurushia watu mawe huku upo kwenye nyumba ya vioo, )
hahahaaa, its all about perception

Mawe is part of life as long as you think they help, otherwise maisha ni yaleyale with or without infidelity
 
To me its not forgivable at all. Nikipata ushaidi tu juu ya cheating hiyo tu hata aombe msamaha vipi siwezi kumsamehe.
Akiamua ku cheat siyo mtu mzuri huyo na wala hawezi acha kamwe. Alafu siku hizi kuna magonjwa tele hivo kusamehe ktk hilo ni kuendekeza pasipo na sababu ya msingi.

Haileti maana kusema nasamehe ila sitasahau.... I will show her/him an exit door immediately!

Jiandae kuoa/kuolewa mara kadhaa...........................
 
why not?[/QUOTE]



Kuna jamaa alikwenda kufanya research pale Dar baada ya kusikia kuwa waTZ wakiulizwa swali badala ya kujibu nao huuliza swali.Alipofika tu airport mtu wa kwanza kumuuliza ilikuwa hivi
Researcher:Nasikia watanzania ukiwauliza swali nao wanakujibu kwa swali badala ya kukujibu.
Mtanzania:Kwani wewe nani kakwambia hivyo?
Moja kwa moja jamaa huyo akaconclude kuwa ni kweli wa TZ tukiulizwa swali hatujibu moja kwa moja badala yake nasi huuliza swali.
 
Imeandikwa katika bibilia kuwa mtu yoyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uzinzi na kumchukua mwanamke mwingine huyo azini .Hivyo basi kosa la uzinzi limekataliwa hata na maandiko matakatifu na adhbu yake ni talaka tu.Na hata mungu atakusamehe.
 
Ndugu,Inategemea na situation Iliyo kukumba,
Kama mtu kaja out of ordinary Hujui to forgive is Welcomed.
Kama ukimfuma mtu live msamaha unakuwa mgumu......
 
What counts as cheating? A sexual relationship? A shared kiss? Flirting? What about “emotional affairs?” Would you date someone if you knew they cheated on their previous partners?
 
What counts as cheating? A sexual relationship? A shared kiss? Flirting? What about "emotional affairs?" Would you date someone if you knew they cheated on their previous partners?

None of these welcome to INFI CLUB
 
yes u can date him ....... by lukng to da reasons behind for that action bt km ilikuwa swaga za paka mapepe sidhan km utamdate cz utajua aftr time he wl do the same 2u as well
kinachomata panapo cheting ni yale mafikirio ya kudanganywa ndo yanauma zaidi manake kama alikujaza uaminifu wa kumuamini ur da only one ,u have oll he wants ,ur full container ,ur africa continent thats each n every crucial n precious stafffs zipo tena tele afu eti unakuta eti izo nyimbo anamwimbia mtu mwingine kwakweli lazima udate.............kingine kinachoboa ni UKIWAZA ZILE SWAGA ZA PALE KATI KATI KWA FUNDI SEREMALA ......ahh yani maswaswa anayagawa nje?asi yataisha?sa mintapata wap tena?apo sasa ndo uchungu wa kuchitiwa unapamba moto
ayo maradhi sjui family itakuwaje sjui umenidhalilisha yanakuja badaye kdg aftr SELFISH ACT OF THNKING ........... kwanini umepeleka nje mali yangui imetake place!!!!!!!!!!!
 
Would you date someone if you knew they cheated on their previous partners?

Midume mingi inamahusiano au inaoa wanawake ambao hawana bikira.

Kwa hivyo, kujua ama kutokujua kuwa mwenzi wako alisaliti huko alikotoka siyo ishu karne hii.

Kilichobaki ni kuomba Mungu tu "Usikanyagishwe miwaya"
 
yes u can date him ....... by lukng to da reasons behind for that action bt km ilikuwa swaga za paka mapepe sidhan km utamdate cz utajua aftr time he wl do the same 2u as well
kinachomata panapo cheting ni yale mafikirio ya kudanganywa ndo yanauma zaidi manake kama alikujaza uaminifu wa kumuamini ur da only one ,u have oll he wants ,ur full container ,ur africa continent thats each n every crucial n precious stafffs zipo tena tele afu eti unakuta eti izo nyimbo anamwimbia mtu mwingine kwakweli lazima udate.............kingine kinachoboa ni UKIWAZA ZILE SWAGA ZA PALE KATI KATI KWA FUNDI SEREMALA ......ahh yani maswaswa anayagawa nje?asi yataisha?sa mintapata wap tena?apo sasa ndo uchungu wa kuchitiwa unapamba moto
ayo maradhi sjui family itakuwaje sjui umenidhalilisha yanakuja badaye kdg aftr SELFISH ACT OF THNKING ........... kwanini umepeleka nje mali yangui imetake place!!!!!!!!!!!

Rose1980 habari ya asubuhi karibu valuer na chapati
 
we finest wew tokazako uko chakunilisha chapat na value mtoto wa mwanaume mwenzako nini?unataka niweje labda? nishbe nilewe?
chitaki mie ........mie ataka jojo na uji wa uledhi...........!!!!!!!!!!!!!
kwani bado upo bar?au job?msalimie royaroy mwambie amchinje jogoo wake amfanye supu!!!!!!!!!
 
we finest wew tokazako uko chakunilisha chapat na value mtoto wa mwanaume mwenzako nini?unataka niweje labda? nishbe nilewe?
chitaki mie ........mie ataka jojo na uji wa uledhi...........!!!!!!!!!!!!!
kwani bado upo bar?au job?msalimie royaroy mwambie amchinje jogoo wake amfanye supu!!!!!!!!!

Si unajua kizuri kula na mwenzako ndio maana nakukaribisha hizo ni moja katika ya sheria mama zetu, Eliza alinishikilia bango akasema nikeshe naye bar kwahiyo ndio namalizia halafu nikaonane na mkoloni nimpe excuse kuwa nilienda hospitali kufanya check up, ila hapo kwenye red huo ujumbe nitaufikisha ngoja nivae tena :glasses-nerdy: nione kama hayo maneno ni yenyewe au nimesoma vibaya
 
hahahaahh!!!hahah!!!!!!!!!maneno ndo hayo ayo baba wala hauitaj kuvaa KIVUTAMANENO🙂glasses-nerdy🙂!!!!!!11
CHEK AVATAR YAke uyu ndo utajua amemweka jogooo mwekundu km jogoo wa noeli!!!!!!!!!!!!!
poa basi ngoja nimalize kujifungua apa naja..akikisha kuna machoz ya simba lt 1 plesssssss !!!!!!!!!!
 
we finest wew tokazako uko chakunilisha chapat na value mtoto wa mwanaume mwenzako nini?unataka niweje labda? nishbe nilewe?
chitaki mie ........mie ataka jojo na uji wa uledhi...........!!!!!!!!!!!!!
kwani bado upo bar?au job?msalimie royaroy mwambie amchinje jogoo wake amfanye supu!!!!!!!!!

Jogoo yupi Rose1980.....kama unamaanisha jogoo wangu.....:mad2:

 
hahahaahh!!!hahah!!!!!!!!!maneno ndo hayo ayo baba wala hauitaj kuvaa KIVUTAMANENO🙂glasses-nerdy🙂!!!!!!11
CHEK AVATAR YAke uyu ndo utajua amemweka jogooo mwekundu km jogoo wa noeli!!!!!!!!!!!!!
poa basi ngoja nimalize kujifungua apa naja..akikisha kuna machoz ya simba lt 1 plesssssss !!!!!!!!!!

:A S-confused1::A S-confused1: Poa nimeishawaambia wapwa wafanye logistics zote kwahiyo utakuta kila kitu tayari
 
jogoo uyu wa aduni
si jogoo aliyekukabidh mungu!!!!!:becky:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom