The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
jogoo uyu wa aduni
si jogoo aliyekukabidh mungu!!!!!:becky:
:fencing::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
jogoo uyu wa aduni
si jogoo aliyekukabidh mungu!!!!!:becky:
hahahahahah! hahahah token nyinyi nan atake nin?
silagi jogoo mie na wala smtak......mie napenda phonex za gym tu bas ayo majogoo yenu nooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!
na wewe finest uache umbea utasutwa !!!!!!!!!!!
hahahahahah! hahahah token nyinyi nan atake nin?
silagi jogoo mie na wala smtak......mie napenda phonex za gym tu bas ayo majogoo yenu nooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!
na wewe finest uache umbea utasutwa !!!!!!!!!!!
Unampenda? I mean, huyu jogoo wa avatar..
mzee avatar yako naipenda inanikumbusha mbali sanaMmmmhhh, samahani nimekosea njia :A S 109: !!!
kwa hiyo kila kitu ulichokitaja hapo juu ni kucheat kama we ukifanyiwa inauma, au aliyekuwa anafanya alitumia jitihada za ziada kuakikisha mpenziye hajui.
Not Necessarily its your Choice..Asanteni kwa kuchangia mawazo.
Je ukigundua mwenza anafanya, au alishafanya moja au yote katika hayo, divorce is inevitable, right?
Not Necessarily its your Choice..
By the way hilo la kula kito moto na mtu anaweza kufanya na isiwe cheating..., lakini wewe ulivyowakuta kitandani wakiwa uchi ulidhani walikuwa wanafanya nini?, Wanatambikia ?, Wanafundishana Biology ?, au joto limizidi wanapumzika ili wasitoke jasho?
Unajua kwenye mapenzi na upendo hakuna atakayekushauri wewe deep down ndio unajua kiasi gani unapenda..., lakini tatizo mtu mwingine anapoona upendo wako kwake upo deep anatake advantage na anatake your love for grantedhahahaaa, labda kuliwazana tu mmoja wakiwa anaumwa kichwa, you know. Hakuna ushahidi kwamba wame do, hakuna chipi wala kondom iliyoonekana inazagaa, kwa kifupi hakuna ushahidi beyond resonable doubt kwamba walikuwa nafanya mapenzi, wanatambikia au kufundishana biology.
Voiceofreason, je kama dicorce siyo option, option ni nini pale ambapo mapenzi yanakuwa yanadecelarate?