Raha ya kutongozwa...lol

Raha ya kutongozwa...lol

muda wa kutongoza sina mi nawachapa na pesa tu.
 
raha sana kutongozwa hasa upate mtongozaji mzuri unaenjoy sana.. nakujiona wew ni muhimu sana kumbe ni mzuri na unahitajika. kuna wanaume wako very romantic yani akikutongoza tu kwa mara ya kwanza usiku hulali unafikiria tu maneno yake.. aghh kuna. wengne ni shiiida yani ovyo kabisa hupat hata muda wa kukumbuka lolote aliloongea
 
hapo ndipo ujanja wetu wanauona badala ya demu kujilamba lamba unakuta wewe men ndo kitete ile mbaya then yeye anakuua kwa kusema kwani ulikuwa unasemaje me nina mambo yakufanya ................da yaaaaan unashindwa kusema huku hutaki aondoke hapo lazima watakuwa wanapenda aiseeeeee
 
UNAKUMBUKA HII SIKU??
1507135_498133380296981_132449354_a.jpg

eeeee bana eeee
we mkalii.........
hahahaaaaaa
umenikumbusha mbali sana aise
Wakati mwingine ndo unatokea zako mnadani kijiji cha jirani then njiani unakutana nao by the way una mlengwa wako mmoja unayemhitaji unachokifanya hapo ni kumpa lifti baada ya kama km 3 hivi mnashuka kwenye baiskeli mnaanza kutembea kwa mguu mko wawili tu baiskeli inakokotwa mwanzo mwisho mpaka tufike home kishaeleweka
MAMBO HAYA YALIKUWA ENZI ZETU AISE SIO NYIE VIJANA WA SIKU HIZI
 
Kutongozwa raha.

Some men are just so romantic and silly.

Ila ***** kuna mijitu ambao they make you sick.

Hawana hata strategy.

I just give them one look to show them how they faired.
 
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh

Ok umesomeka mama
 
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
Baada ya mwezi unampatia?
 
inakera pale mtu anakutongoza halafu majivuno meengi mara oooh mimi nina hiki,kile na hiki,,,,....inaboa sana
 
Back
Top Bottom