benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
inategemea na anaekutongoza
Uko sawa kabisa mrembo, inategemea kama kama yuko na gari au kwa miguu. Eh tiririka tupe nondo hizo.
inategemea na anaekutongoza
na mimi nikishavua nitakuonyesha tabia yangu ilivyo no more ma love davy fulll ubabe utajuta kukutana na mimi
Hahahaha, kuna demu nilimgongaga alafu nikajifanya kumpoteze, weeee, ilikua ni shidaaaa asikuambie mtu. Nilibadili namba ya simu lakini wapi. Ilibidi nimtafute nimpigie magoti nimuombe yaishe. Itakua ndo wewe nini?
ukome sasa yawezekana ni mimi
Nimekoma aisee.Wewe ni noma. Ila gemu unaliweza kwa kweli sifa zako nikupatie.
hebu funguka mama,
inategemea na nini?
Uko sawa kabisa mrembo, inategemea kama kama yuko na gari au kwa miguu. Eh tiririka tupe nondo hizo.
inaonyesha mwanaume akija kwako na ile mitongozo ya kizamani huchelewi kumbwatukia lol....
anaweza akawa na gari na bado akakera, yani sijui nikwambiaje ila ndo ivo inategemea ntu na ntu
Mimi je.Nijaribu nione kama utakereka
Habari zenu wapendwa,........?
Lol...siku nyingi kweli sijatia timu jukwaa hili,
hata wadau wenzangu wa enzi zile siwaoni tena.....anyway!
Back to the topic,..........
Hivi dada zangu huwa mnaenjoy mkiwa mnatongozwa?
Ni kweli kuwa usipotongozwa kama wiki tu hivi wajisikia vibaya?
Najua kuna suala la umri hapa kwenye sanaa hii ya utongozwaji,
Lakini napenda tu nipate jibu la jumla,
Jamani huwa mnajisikiaje?
Asalaaam Aleikhum...........................
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
Hahahahahaaaaaaaa
siku ya kuripoti chuo....nimejaa tele, ivi tulionana wapi vile?
siku ya kuripoti chuo....
Kha upo mtu wangu,twa masiku.Kwangu ndo utachoka mie ntakutongoza kwa simu na PM tuu adi kieleweke ,tukifikia muafaka ndo natia timu taaatiibu nikiwa nimeshatundika dripu zangu za Serengeti kwa ajili ya kazi moja ..kdaaadekikutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
Habari zenu wapendwa,........?
Lol...siku nyingi kweli sijatia timu jukwaa hili,
hata wadau wenzangu wa enzi zile siwaoni tena.....anyway!
Back to the topic,..........
Hivi dada zangu huwa mnaenjoy mkiwa mnatongozwa?
Ni kweli kuwa usipotongozwa kama wiki tu hivi wajisikia vibaya?
Najua kuna suala la umri hapa kwenye sanaa hii ya utongozwaji,
Lakini napenda tu nipate jibu la jumla,
Jamani huwa mnajisikiaje?
Asalaaam Aleikhum...........................
Kha upo mtu wangu,twa masiku.Kwangu ndo utachoka mie ntakutongoza kwa simu na PM tuu adi kieleweke ,tukifikia muafaka ndo natia timu taaatiibu nikiwa nimeshatundika dripu zangu za Serengeti kwa ajili ya kazi moja ..kdaaadeki