Raha ya kutongozwa...lol

Raha ya kutongozwa...lol

Hivi tuwe wakweli kabisa jamani, kuna kutongoza siku hizi? Maana zamani kumpata mwanamke ilikuwa ni mchakato wakati siku hizi ni kama kutuma hela kwa mpesa/tigopesa - fasta fasta. Asubuhi unapata number ya simu, jioni au kesho yake sita kwa sita. Kuna kutongoza hapo?

1499588_653751761329188_800165169_n.jpg
 
Me ninamtongoza mmoja ths time,yani namwona tu anavyofurahia maneno yng sn.Kakubali kuja hom wekeend nasema atadata akivua.Leo et "najisikia raha ukinipigia simu,sijui kwanini?"
 
Binti mmoja nilivyoona ni mgumu kutongozeka nikaamua niwe namuangalia muda mrefu pasipo kukwepesha macho kila nimwonapo popote.
Akaanza aibu za kukwepa macho yangu.Ndani ya wiki tu akaanza kunibana kwanini napenda kumuangalia hovyo ati anahisikia aibu.....maongezi yakaanzia hapo halafu......
Zilikuwa nyakati nzuri sana
 
Watongozaji na watongwaji walikuwa zamani. Siku hata watongozaji wenyewe hawapo, ukiona mtu kalainika ni kwa ajili ya kusaidiana kupunguza genye tu, lakini si kutokana na kulainishwa na maneno ya mtongozaji.
 
Back
Top Bottom