Raha ya kutongozwa...lol

Raha ya kutongozwa...lol

Habari zenu wapendwa,........?

Lol...siku nyingi kweli sijatia timu jukwaa hili,

hata wadau wenzangu wa enzi zile siwaoni tena.....anyway!

Back to the topic,..........


Hivi dada zangu huwa mnaenjoy mkiwa mnatongozwa?

Ni kweli kuwa usipotongozwa kama wiki tu hivi wajisikia vibaya?

Najua kuna suala la umri hapa kwenye sanaa hii ya utongozwaji,

Lakini napenda tu nipate jibu la jumla,

Jamani huwa mnajisikiaje?


Asalaaam Aleikhum...........................

Mara ya mwisho kutongoza lini? Kutongoza ni ushanba uliokithiri. Siku hizi bila hata kusema mtu anaelewa.
 
Habari zenu wapendwa,........?

Lol...siku nyingi kweli sijatia timu jukwaa hili,

hata wadau wenzangu wa enzi zile siwaoni tena.....anyway!

Back to the topic,..........


Hivi dada zangu huwa mnaenjoy mkiwa mnatongozwa?

Ni kweli kuwa usipotongozwa kama wiki tu hivi wajisikia vibaya?

Najua kuna suala la umri hapa kwenye sanaa hii ya utongozwaji,

Lakini napenda tu nipate jibu la jumla,

Jamani huwa mnajisikiaje?


Asalaaam Aleikhum...........................
kwa kweli leo umenivunja mbavu na topic hii.....utanidai
 
raha sana kutongozwa hasa upate mtongozaji mzuri unaenjoy sana.. nakujiona wew ni muhimu sana kumbe ni mzuri na unahitajika. kuna wanaume wako very romantic yani akikutongoza tu kwa mara ya kwanza usiku hulali unafikiria tu maneno yake.. aghh kuna. wengne ni shiiida yani ovyo kabisa hupat hata muda wa kukumbuka lolote aliloongea

ha ha haaaaa, haaaaaa
 
utam wa kutongozwa umepunguzwa na kasi ya wadada kuangalia mkwanja kwanza...

nyuso zao siku hizi ni kavuuuu,, hata umwambie dada nahitaji kupata dinner na wewe, yeye awaza kwanza atakwangua shs ngapi!

kweli kabisa siku hizi akina dada wanafikiria baada ya maongezi utampa nini......hapo baada ya kunywa reds na kula pizzas
 
996818_408016275975359_593723344_n.jpg

Jamaa lazima alienda kukigegeda
 
sijawahi kupata shida ya kutongoza wala kupewa ahadi, mimi nikimweleza tu naeanasema alikuwa na wazo hilohilo yaani kiulainii
 
ha ha ha ha ha si kila mwanaume unamfanyia hivyo kama nakupenda wala sikusumbui kama sikupendi nakutesa mpaka ukome mwenyewe ,,, ila kuana wanaume wabishi yani kutongoza kuna kuwa tatizo kila siku yupo hata umjibu vibaya vipi.... kuna mmoja mpaka imefika mahali unamfokea lakini ananiambia eti kwake ye ni burudani yaaaani tabu kweli kweli

unajua kwann sku hiz sionekani kuleeeeeee! Ujio unakaribia ila bado niko safar mbali kidogo. Nikirudi tu uelekeo kwako
 
Mara ya mwisho kutongoza lini? Kutongoza ni ushanba uliokithiri. Siku hizi bila hata kusema mtu anaelewa.


Caroline Danzi,

mie naamini bado kutongozana kupo,

ila labda mitongozo itakuwa imerahisishwa tu na technolojia ya sasa...

sio tena time consuming..........
 
Back
Top Bottom