Isumbwile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 801
- 362
mi sitongozwi kabisa!
Ngoja nijaribu....lol,challenge accepted!
mi sitongozwi kabisa!
Kabisa na wewe?mzima lakini
Why challenge lol :eyebrows:Ngoja nijaribu....lol,challenge accepted!
Caroline Danzi,
mie naamini bado kutongozana kupo,
ila labda mitongozo itakuwa imerahisishwa tu na technolojia ya sasa...
sio tena time consuming..........
hahahaa! We jidanganye tu
kwa sababu mvuto wako ni hasi
kwa sababu sikutaki na nataka nikuone unalia lia na unateseka raha sana
aise wewe ni kichaa!!
hujapata waimbishaji wazuri utafurahi mwenyewe....lolMie huwa naona kero kutongozwa...
Black Kid....ina maana siku hizi ni kubeba tu na kwenda kumchapa nao,
hakuna kuremba....?
Kabisa na wewe?
ndo ukweli usije lia lia na kunilamba miguu
lakin si unajua janja ya mwanaume? Ntajifanya mpoole na mwenye mapenz kweli lengo uvue tu. Sasa nikisha kuvua tu hahaa utaijua tabia yangu ilivyo....... Lazma ujute kuvua hahahaaa