miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Ndio unikodolee mimacho jamani. We nidanganye tu inatosha.
yani nile vidole wakati najua sikutaki
Ndio unikodolee mimacho jamani. We nidanganye tu inatosha.
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
mimi ni kutongozwa na vibabu sitaki
mi sitongozwi kabisa!
kutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
yani nile vidole wakati najua sikutaki
una mda gani aise ?
ni kitamboo!!
Kumbe hua wanatuchora.!?! Ndio mana nashangaa hawa mabinti wa siku hizi hawanga'ti kucha. Mtu unamtongoza anakuangalia.. Kha! Mpaka mistari inaruka..