miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Ha!ha!ha.. Hivi mara ya mwisho kutongozwa ilikua lini miss?
jana usiku kwenye simu lakini namtesa huyo balaaaaa
Ha!ha!ha.. Hivi mara ya mwisho kutongozwa ilikua lini miss?
Vibabu vinamapene
mwezi unanizungusha!! Bado sijakata tamaa!!
Long way,ila awe anakupa space ya ku digest sio kila akikuona/akipiga simu ni kuulizia jibu tu mpaka unatamani kubadili njia/namba ya simu.
Ukiona kimya kingi anza tu kuniita shemeji maana jibu likiwa yes utaona tu dalili hata kama huliulizii daily!!!
Hivi tuwe wakweli kabisa jamani, kuna kutongoza siku hizi? Maana zamani kumpata mwanamke ilikuwa ni mchakato wakati siku hizi ni kama kutuma hela kwa mpesa/tigopesa - fasta fasta. Asubuhi unapata number ya simu, jioni au kesho yake sita kwa sita. Kuna kutongoza hapo?
UNAKUMBUKA HII SIKU??
![]()
Ha ha ha ukiona kimya kingi nianze tu kukuita shemeji daah
ngoja nijipange kutengeneza hata aibu za kulazimisha alafu nije, nishagunduaaaaaaaaaaaaaaaaaakutongozwa kunaraha yake afu ukute anaona aibu anashindwa kujieleza loh penda sana mimi.... mtu wa hivyo napenda akanitongozee sehemu ya vinywaji na si kwenye simu loh ... aaah hapo namzungusha hata mwezi loh
inabidi nikutafute, maana nina sifa zote.......
tayari ushanikimbiza, kwenye kuteswa mmmmmmmmmmmmmmmmmh, bola nitulie hivi tu. afu kumbe mnafurahi kutesa wenzenu eeh?jana usiku kwenye simu lakini namtesa huyo balaaaaa
Hii imenikumbusha mbali saaanaUNAKUMBUKA HII SIKU??
![]()