Raha ya kutongozwa...lol

Raha ya kutongozwa...lol

Hivi wapo mpaka leo wanaodai majibu kwa mademu!unakuta mpaka chumbani mtu anadai jibu lake......


kaka umenikumbusha mbali sana.........

unajua tatizo ni kwamba, hawa wakina dada ndo wanaoanza kusema, kuwa ntakupa jibu........,

sasa jamaa lazima akomae kutaka kujua jibu lake limekaa vipi?amekubaliwa au vipi?

Ila sema inafurahisha sana,......kila muda jamaa akipiga simu ni kuuliza....""sasa jibu langu vipi mpenzi""?
 
kuna mtu akikutongoza unaboreka kinyama ila kuna mwingine unaenjoy
Mimi km ni kwa mara ya kwanza nikikutongoza Moyo (LOHO) huwa inadunda (naogopa ukikataa ntaabika najiuliza sijui utakubali, sijui utanionaje limgukeni, Mzee au mtoto kamasi
lakini ukishaanza kusugua chini au kuuma vidole hata mzee wangu huku chini anarukaruka akisubiri siku na saa na dk
 
385346_509410799080737_44388342_n.jpg


Tyta bhana...
 
hivi kuna kutongozana sikuhizi..

Kwa hiyo tukikutana njiani nikushike tu mkono na kuanza kutembea hata huulizi tunaenda wapi? Tambua kuulizwa tu jina unaitwaje dada,unaishi wapi, unaenda wapi, ni hatua za awali za kutongozwa.
 
Hahahaha..kweli kutongozwa raha, yani mnatupanga tu na maneno yetu mnayapima tu...Ndio mana huwa sipendi kutongoza.

ha ha ha ha ha si kila mwanaume unamfanyia hivyo kama nakupenda wala sikusumbui kama sikupendi nakutesa mpaka ukome mwenyewe ,,, ila kuana wanaume wabishi yani kutongoza kuna kuwa tatizo kila siku yupo hata umjibu vibaya vipi.... kuna mmoja mpaka imefika mahali unamfokea lakini ananiambia eti kwake ye ni burudani yaaaani tabu kweli kweli
 
ha ha ha ha ha si kila mwanaume unamfanyia hivyo kama nakupenda wala sikusumbui kama sikupendi nakutesa mpaka ukome mwenyewe ,,, ila kuana wanaume wabishi yani kutongoza kuna kuwa tatizo kila siku yupo hata umjibu vibaya vipi.... kuna mmoja mpaka imefika mahali unamfokea lakini ananiambia eti kwake ye ni burudani yaaaani tabu kweli kweli
Mimi huwa nakuambia kama nakupenda. ukizingua hutaniona tena..Najua wewe una maamuz yako, na unasababu ya kuzingua, hakuna haja ya kukulazimisha. Huwa najiuliza, DID SHE WORTH MY TIME? Haya ni makubaliano kila mmoja atanufaika kwa namna moja ama nyingine. Afu huwa sipendi msichana muongeaji, ukiwa na maneno mengi nakuogopa saana.
 
Dah!
Umenikumbusha good old days!!
yes those good old days.. kijana anaandika barua halafu anaanza kupiga misele kila dakika anajipitisha mbele ya nyumba binti anapoishi
 
Mimi huwa nakuambia kama nakupenda. ukizingua hutaniona tena..Najua wewe una maamuz yako, na unasababu ya kuzingua, hakuna haja ya kukulazimisha. Huwa najiuliza, DID SHE WORTH MY TIME? Haya ni makubaliano kila mmoja atanufaika kwa namna moja ama nyingine. Afu huwa sipendi msichana muongeaji, ukiwa na maneno mengi nakuogopa saana.

okey rafiki pole sana ila kwa mfano ukinitongoza naongea mwanzo mwisho najua utakimbia
 
Back
Top Bottom