Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Hahahaaa we nimekukubali mze wa picha
Ulishawahi kuandikiwa barua shule ikakamatwa?
Hahahaaa we nimekukubali mze wa picha
Ulishawahi kuandikiwa barua shule ikakamatwa?
Sijawahi kutongozwa kwa njia yoyote mie...
Ktk suala la chumbani Sasa uvivu unatakiwa kuweka pembeni, unatakiwa Kuwa creative, kumsoma mwenzio na kumshambulia ipasavyo hadi awe hoi, ukileta uvivu au kinyaa mbona utasaidiwa sana hapa mjini.
Si unaona jinsi vijana wanalia lia kila Siku hapa wanasaidiwa chezea huduma wewe,
Mtu anataka mtanange hadi aombe poo yeye analeta uvivu
Wanaume wako wapi watongozaji?? Hadi ning' ate vidole, nikatekate majani, nisugue na miguu chini kwa jicho LA aibu, barua za kuchora hadi moyo, ukinywa maji unaniona....
Now day simple wassap, badoo, fb mnachat Mara tuonane Mara guest ushavuliwa bila kutongozwa
Mda wa kutongoza upo wap??
Good,Kuna kutongoza ila siku hizi tume summarize siyo story ndefu tena.
hari ww umekuwa mkweli. Sku hiz wanaume hatuna muda wa kupoteza kaz ni kuchukua namba na kuagizana gest tu..................
Wht do u mean?
hivi kuna kutongozana sikuhizi..
Ha ha ha kwann hamtupi swaga daa unajua tunamiss hii mambo
Ila bora tusipotezea muda kwa maana mapenz yenyew hayadumu
mi sitongozwi kabisa!
Kutongozwa raha tena jamaa akiwa na aibu ndo nai enjoy vizuri,,,,,, ,
Siku iyo kila usemacho ni yes babe!
Sijawahi kutongozwa kwa njia yoyote mie...
Ila huwa unaambiwa tu??
Kimbia kama kweli nawe hutakiHakuna ila wao ndio wanao tutongoza hasa tukiwa tunatokea CRDB,NBC,AZANIA na mitaa mingine inayofanana na hiyo hapo huwa tunagandwa kama kupe kamdandia ng'ombe.