Prophet IPM anahubiri injili gani?

Prophet IPM anahubiri injili gani?

Ni kama muislam fulani aliyejibanza ndani ya ukristo! Si kwa shombo zile anazozitoa dhidi ya wakristo huku akiwasifu waislamu! Mahubiri yake yamejaa utata na mashaka mengi kwa wanaoijua injili
 
Dini ya kikristo ni ya amani sana! Ingekuwa ni dini ya kiislam huyu asingethubutu kuwasemasema waislam na imani yao kuwa wanaamini abrakadabra tu, waislam wangemuijia juu na kumtembezea bakora kama si majambia. Sijawahi kuona muislam akiwanangananga waislam wenzake kwa kile wanachokiabudu na kukiamini ndani ya uislam huku waislam wakimuangalia tu! Huyu mmbaba amezidi kuwasema wakristo sana, anawaona ni mbulula kila nyanja
 
Asee ili ukilipigia malengo kwa mwaka ukawa na mikutano yako 10 au 5 kwa kiingilio cha 50k na ukawa na uhakika wa kuwadaka wanyantuzu 500 assee unaweza ipangia bajeti halmashauri yako
Na hii ndio hasa idea ya huyo nabii, alifikiria hivi hivi. Akifanikiwa hapo atakuja na huku mikoani. Kmmk waliohudhuria
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Tupunguze ushauri.

Mawazo yake yaheshimiwe
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Huyu ana tofauto gani na kiboko ya wachawi? Wapumbavu kama hawa ndio wanasababisha ukristo utadharauliwe.
 
Screenshot_20260404-085912.png
 
Watu wanataka mijadala wajadili masuala ya uchumi,siasa,teknolojia
Huyu anatuletea mambo ya wanaume na wanawake kudinyana,umbeambea udaku

Ova
cha ajabu wanaume wamejazana kumsikiliza, niliwashanga wanaume wale kama wana akili timamu na hawana kazi za kufanya. Muda wa kwenda kumsikiliza huyu mmbaba wanaupata wapi?
 
cha ajabu wanaume wamejazana kumsikiliza, niliwashanga wanaume wale kama wana akili timamu na hawana kazi za kufanya. Muda wa kwenda kumsikiliza huyu mmbaba wanaupata wapi?
Yaani mwanaume unashona sare ati unaenda kwenye kikao cha wanaume na mnaenda kuambiwa mambo ya kawaida mno
Mara usilale ukutani, ati mkeo akuombe ruhusu
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

6. Hivi kweli mwanaume rijali unashona sare unaenda kufundishwa jinsi ya kuishi na mkeo?
Yaani mwanaume unaenda kuambiwa mara ooh usikubali kulala ukutani, mara piga shoo, mara mwanamke asikytawale.
Yaani ungese!

7. Nani alimwambia huyu anayejiita nabii kuwa katika ndoa Kuna ushindani na kuwa mwanaume anatafuta ushindi.
Ndoa ni jambo la asili ni bond ya upendo wala sio ubabe, kufoka, kuwa mkali hakukufanyi mwanaume uwe na heshima

8 nilimsikia mahala akihamasisha talaka katika ukristo 😂

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Nimecheka kwa nguvu hadi watu wamenishangaa,eti usikubali kulala ukutani"
Ila ndugu usipaniki sana chukulia tu kwamba ile ni miradi ya watu maana kuna mazuzu ni kweli watahudhuria na kulipishwa michango
 
Hayo mambo ya utapeli wa dini yako kote kote:

Kuna Nabii wa Kiislamu Elyasi anaishi Kibaha:

Kuna Shehe wa Zanzibar aliyesema Mlevi wa Zanzibar ni Mbora mbele ya Allah kuliko Mashehe wote wa Bara:

Kuna Shehe anayesema kuwa Uislamu unategemea Majini ili ustawi:
Hata Mtume MUHAMADI alifunga Majini: by Shehe Dr. Sule:

Mashehe walio Mwombea Mfalme kwa Majini ili ashinde Uchaguzi:

Shehe Mkatavichwa wapinzani wa Chama nk.
 
Back
Top Bottom