Prophet IPM anahubiri injili gani?

Prophet IPM anahubiri injili gani?

50 hata bia za maana haupati , mimi sioni tatizo kama watu wanavutiwa na anachofundisha ni sawa tu, hela ni zao maamuzi ni yao .
Kwamba ni sawa kulipia 50 kwenda kuambiwa namna ya kumfokea mkeo, kutoa ruksa, amri n. K
Kwani ligi ya mwanaume na mwanamke imetoka wapi?
Hadi wanaume tutafute jinsi ya kushinda
 
Kwamba ni sawa kulipia 50 kwenda kuambiwa namna ya kumfokea mkeo, kutoa ruksa, amri n. K
Kwani ligi ya mwanaume na mwanamke imetoka wapi?
Hadi wanaume tutafute jinsi ya kushinda
Mkuu ni swa tu sijaona walipo vunja sheria ,labda uwe unateseka na mtumizi ya wengine
 
Ndio maana tunasema wagalatia nyinyi asilimia kubwa ni vilaza, hakuna mlichosoma mashuleni na mlikuwa mnapitishwapitishwa, na sasa ukweli ndio unaonekana

View attachment 3566900
Hakuna kilaza, dini ni jambo huru na ahukumuye ni mungu ,ukristo unajitetea na kujipigania wenyewe wala hauhitaji kutetewa na mtu yeyote anaye uchezea atajuana yeye na mungu wake.
 
Mkuu ni swa tu sijaona walipo vunja sheria ,labda uwe unateseka na mtumizi ya wengine
Watu wanahitaji wanahitaji semina za kilimo chenye tija, biashara, ufugaji, ujasiriamali nk
Sio kulipia 50k kuammbiwa ati mwanamke akupikie, mara usifue mashuka, mwanaume asilale ukutani
Hizo ni issues ndogo mno
 
Watu wanahitaji wanahitaji semina za kilimo chenye tija, biashara, ufugaji, ujasiriamali nk
Sio kulipia 50k kuammbiwa ati mwanamke akupikie, mara usifue mashuka, mwanaume asilale ukutani
Hizo ni issues ndogo mno
Wanaohitaji kilimo waende bwashee kwenye kilimo ,wanaenda kwa masta pia waende
 
Watu wanahitaji wanahitaji semina za kilimo chenye tija, biashara, ufugaji, ujasiriamali nk
Sio kulipia 50k kuammbiwa ati mwanamke akupikie, mara usifue mashuka, mwanaume asilale ukutani
Hizo ni issues ndogo mno
Mijadala ya kuzungumzia mambo ya ajab ajab ruksa
Ila mijadala ya kuzungumzia mambo ya kiuchumi,siasa maarufuku

Ova
Pascal Mayalla
 
Mm namsapoti jamaa anachofanya.

Ameona vile baadhi ya wanaume walivyo Wapumbavu na unatumia fursa hiyo, anakwenda kutajirika kupitia huo upumbavu wao.

Hakuna jipya kwenye huo upumbavu unaoitwa kikao cha wanaume zaidi ya kwenda kujadili ngono tuu.
Hebu tutafute project moja tukusanye wapumbavu tujipigie pesa na sisi..
 
Hata ungekuwa wewe ungefanyaje? Penye wajinga wengi jipigie pesa!
naam fursa za bure ni kuzichukua tu, hakuna jinsi
Hawa wahuni wa mjini wanajua kula na wakubwa, hapo alishaset kila kitu
urefu wa kamba
Upumbavu mtu! Manaume tunakuwa kama hatujasoma! Yaani kuishi na mke lazima ukashauriwe na jitu pumbavu kama hilo? Halafu majitu ya hivi unalikuta nyumbani kwake kama zoba fulani!
hatari sana
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Ana Injili tu ya Uhuni, Usela Nnya na Ulozi.
 
Back
Top Bottom