Prophet IPM anahubiri injili gani?

Prophet IPM anahubiri injili gani?

Hata ungekuwa wewe ungefanyaje? Penye wajinga wengi jipigie pesa!
Naam, ndio maana mimi huwa nawapongeza hao kina mwamposa na wafananao maana wametumia fursa ya ujinga wa watu na kukusanya pesa, uzuri hawachukui kinguvu mfukoni kwa mtu, ni mtu mwenyewe anazipeleka big up kwao
 
Ndio ushangae hapo! Walikuwa wengi na suti, mashati na tai nyekundu walinunua wenye kuazima hayaa..!!
Na afuhamsini wakatoa🤣🤣🤣🤣
Ila kiiila uchwao wanasema wanawake ndio wateja wa hao manabii🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Mnapata wapi muda kufuatilia huu ujinga..
 
Naam, ndio maana mimi huwa nawapongeza hao kina mwamposa na wafananao maana wametumia fursa ya ujinga wa watu na kukusanya pesa, uzuri hawachukui kinguvu mfukoni kwa mtu, ni mtu mwenyewe anazipeleka big up kwao
Na ukiona mtu anawapinga vikali hawa ujue anaitamani hiyo nafasi ila kaikosa! Tunaishia kujenga chuki kama tumeibiwa pesa zetu ndani😁
 
Iyo 50 k natengeneza odds 3 tu napata 150,000, huwezi kufundishwa kuwa mwanaume,
IPM yupo sahihi kwa upande wake kwa sababu Kuna watu wanahitaji kukumbushwa majukumu yao,
Na sio wote ambao walienda hapo kwamba hawatambui wajibu wao Kila mmoja ana lengo lake la kuwepo hapo
 
Hukuona Rose shaboka kashafanya? Kimeshapita siku nyingi..
Asee ili ukilipigia malengo kwa mwaka ukawa na mikutano yako 10 au 5 kwa kiingilio cha 50k na ukawa na uhakika wa kuwadaka wanyantuzu 500 assee unaweza ipangia bajeti halmashauri yako
 
Asee ili ukilipigia malengo kwa mwaka ukawa na mikutano yako 10 au 5 kwa kiingilio cha 50k na ukawa na uhakika wa kuwadaka wanyantuzu 500 assee unaweza ipangia bajeti halmashauri yako
Oyaa🫢
Unajipigia pesa sio poa🙌🏾
 
Back
Top Bottom