Prophet IPM anahubiri injili gani?

Prophet IPM anahubiri injili gani?

hiyo haijalishi we ni kobazi au muebrania, jamii nzima imekumbwa na hofu hiyo na wanavaa wote, sio waebrania hata kobazi wanavaa
Naona ndio umeamka
Tangu lini ukuwa muebrani, wewe ni mgalatia kamatia hapohapo
Hakuna muislamu huko maporini, na akiwepo yuko ki biashara, huo ni mkoa wenu walagalatia na labda hauna bando kuona mjengeo wote au? suluhisho la kupata pumbu zako zirudi wanasema unatakiwa umuone mchungaji na wamewataja majina hao wachungaji
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

6. Hivi kweli mwanaume rijali unashona sare unaenda kufundishwa jinsi ya kuishi na mkeo?
Yaani mwanaume unaenda kuambiwa mara ooh usikubali kulala ukutani, mara piga shoo, mara mwanamke asikytawale.
Yaani ungese!

7. Nani alimwambia huyu anayejiita nabii kuwa katika ndoa Kuna ushindani na kuwa mwanaume anatafuta ushindi.
Ndoa ni jambo la asili ni bond ya upendo wala sio ubabe, kufoka, kuwa mkali hakukufanyi mwanaume uwe na heshima

8 nilimsikia mahala akihamasisha talaka katika ukristo 😂

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Anyway sijawahi kumuamini huyu kama prophet au kiongozi wa dini.
 
Mbona nyie humu huwa mnatuanzishia nyuzi kukicha? Acha wakajadili jinsi ya kuhandle wake zao bwanaa🤣

Wanaowaanzishia nyuzi humu nao hawana akili sawa tu na hao waliovalishwa sare kwenda kujadili petty issues.
 
Back
Top Bottom