Prophet IPM anahubiri injili gani?

Prophet IPM anahubiri injili gani?

Mm namsapoti jamaa anachofanya.

Ameona vile baadhi ya wanaume walivyo Wapumbavu na unatumia fursa hiyo, anakwenda kutajirika kupitia huo upumbavu wao.

Hakuna jipya kwenye huo upumbavu unaoitwa kikao cha wanaume zaidi ya kwenda kujadili ngono tuu.
 
Naona ukimya wetu wakristo wameingia virus na kuharibu taswira ya ukristo

Yaani wakristo manyumbu nao wanamwita huyu bwana prophet na kumpelekea sadaka

1. Kujipa cheo cha Mwenyekiti wa wanaume, Tanzania
Hivi kuhani au nabii utajipa cheo cha hivi

2. Kupotosha uhalisia katika ndoa.
Kwamba ndoa ni ngono, kumhonga mke wa ndani
Hivi mtumishi wa Mungu utatoa mafundisho ya kipumbavu kama hayo

3. Vikao vya wanaume
Sisi wanaume hatunaga vikao vya Siri
Mwanaume anazaliwa mwanaume na anauishi uaname.
Hayo mambo ya kitchen party ni mambo ya kike

4. Sijawahi kumwona akihubiri wongofu yeye ni ngono sijui kupiga show na mafanikio

5 kuibua uchawa na kusifia sisiem ya mafisadi na wauaji

Huyu bwana anatokea upande wa kobazi na yupo kunajisi ukristo na kuleta ukristo wa tik tok
View attachment 3566884
Msela napigaga nae tizi,, yupo vizuri sanaa!
 
Asee ili ukilipigia malengo kwa mwaka ukawa na mikutano yako 10 au 5 kwa kiingilio cha 50k na ukawa na uhakika wa kuwadaka wanyantuzu 500 assee unaweza ipangia bajeti halmashauri yako
Sasa hiyo c 25 million tu mkuu
Sawa na 10000usd
 
Duh kumbe huu upumbavu ulikuwa n trh 2, Ndo mana leo nmeview status ya huyo mlemavu Akiongelea mambo ya ruksa ya mke 😂

Kwamba kuna Wapumbavu wanalipa pesa ili kuambiwa wake zao wanatakiwa kuomba ruksa 😂
 
Back
Top Bottom