Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,611
Naona nawe ndio umefufuka na Bwana🤔nilikuwa kanisani wiki kuu kabla ya kifo cha mkombozi wetu Yesu Kristo. Prophet wa mchongo huyo
Naona nawe ndio umefufuka na Bwana🤔nilikuwa kanisani wiki kuu kabla ya kifo cha mkombozi wetu Yesu Kristo. Prophet wa mchongo huyo
Wewe si ushajitoa umeamua kupakuliwa kinyesiUanaume siku hizi validation yake iko hatiani,
Maana wahusika hawajiamini kabisa, Lol
Mzee nipo safaini narudii darHatari sana kaka
Nikadhani ulikuwepo mjini wakati watu na suti zao walipotekwa huko .Mzee nipo safaini narudii dar
From mwanza to dar es salaam hapa nipo na konyagiiii ndogo najifukizaa nayoNikadhani ulikuwepo mjini wakati watu na suti zao walipotekwa huko .
Bone voyage kaka
Nyinyi hamjamuelewa huyu mtu sio prophet km mnavyofikiri wakati huyu anaanza mimi nilichojua kuanzia mwanzo kabisa kua huyu ni Content Creator sio prophet au nabii mnavyoitaka ila huyu ni km yule mnamuita Chifu Godlove na wengine sampling km hio ila yeye amechagua niche ya dini ndimo anamotengenezea Content zake wengine wamechagua niche zingine zingine ila yeye aliusoma mchezo akaona ili apige hela basi apite na upepo wa dini hii hata Masanja aliiona na Uwoya nae akaiona sema hawakufanya kwa kiwango cha huyu mtu sasa shida ya kufanya niche km hii ni moja tu unapotoka ndani ya mstari ukaanza kwenda nje ya mstari km alivyoanza kufanya Chifu Mwantembe mnamuita Mzee wa Upako kipindi hicho alikua ndani ya mstari baadae akaanza kutoka nje ya mstari watu wakaanza kujiuliza maswali imewezekanaje?Mimi hiyo 50000 ningepewa eti niende nalala nayo mbele naenda kununua vitu vya pasaka🤣😁
Hatari sana kaka ,sema kama unadrive kuwa makini .From mwanza to dar es salaam hapa nipo na konyagiiii ndogo najifukizaa nayo
Kaka nimejifunza mengi SANA SANAAAAAA nilikua sijatembea muda mrefu nowHatari sana kaka ,sema kama unadrive kuwa makini .
Japo kujipa vibe safarini muhimu sana