Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Polisi kushikiria mwandambo bila kumpeleka mahakamani wala kumpa dhamana wala kujilikana alipo ni utekaji wa raia wa wazi na hauvumiliki.
Inakuwaje mtu anatekwa kituo cha polisi ?
Kuna vitendo vya polisi kuuwa na kuteka watu sasa hivi wameshindwa kuficha kuwa wao ndio watekaji na waasi dhidi ya katiba ya nchi.
Sasa hivi hawaficho wanakuuwa kituoni hapo hapo lazima wahusika watawajibishwa vikali.
Inakuwaje mtu anatekwa kituo cha polisi ?
Kuna vitendo vya polisi kuuwa na kuteka watu sasa hivi wameshindwa kuficha kuwa wao ndio watekaji na waasi dhidi ya katiba ya nchi.
Sasa hivi hawaficho wanakuuwa kituoni hapo hapo lazima wahusika watawajibishwa vikali.