melchior
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 230
- 214
Pengine mh Tundu Lisu amepigwa risasi na watuhumiwa wa Makinikia (dhahabu, almasi na Tanzanite) kwa lengo la kutugawa na ku divert mjadara kuhusu wizi wa madini.. Sitaki kuamini kama serikali ama watanzania wanaweza kufika huko.Just thinking outside the box