Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?

Poor US!!!

poor yourself
 
Si ndo nashangaa pamoja na kuwepo kwa muda wote huo serikali haijawahi kuchukua hatua.

attachment.php
Halafu hawa jamaa washagongeshwa moshi mkubwa...cheki jicho...Hapo mwigu akiwapa amri ya kufanya yale matukio yao hawarudi nyuma.
 
poor yourself
UNgesoma post kwa utulivu na kuielewa ungeona tatizo la jibu lako!!

quote_icon.png
-By-Azimio Jipya- Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?Poor US!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hi vi yale ya m23 si yalianza hivi hivi??

ukweli sioni sbabu ya chama cha siasa kuwa na kikundi chake cha ulinzi. kwani kinamlinda nani dhidi ya nani?? honestly haya yanatakiwa yapigwe marufuku na wananchi weyewe vinginevyo wananchi tutajikuta tunapigana ilihali hao wenye hao mgambo kila mmoja akakimbilia mafichoni na familia zao.

natangaza rasmi kujitoa kwenye siasa kwasasa
 
  • Thanks
Reactions: EMT
hi vi yale ya m23 si yalianza hivi hivi??

ukweli sioni sbabu ya chama cha siasa kuwa na kikundi chake cha ulinzi. kwani kinamlinda nani dhidi ya nani?? honestly haya yanatakiwa yapigwe marufuku na wananchi weyewe vinginevyo wananchi tutajikuta tunapigana ilihali hao wenye hao mgambo kila mmoja akakimbilia mafichoni na familia zao.

natangaza rasmi kujitoa kwenye siasa kwasasa

dada upo sahihi lakini swali la kujiuliza ni,kwanini jeshi la polisi pamoja na serekali haikukemea green guard mapema,kwanini chadema ilipotoa ushahidi wakutosha kwamba kuna kambi za green guard zilizoanzishwa tena wanapewa mafunzo yakijeshi kuuwa,kupiga,na pia kwanini polisi haikuufanyia ule ushahidi wa silaha ambayo chadema iliuvumbua dhidi ya green guard..?polisi kutokuufanyia kazi wala kukemea inaonesha kwamba waliona uwepo wa vikudi hivyo ni sawa...sasa iweje leo chadema watake kuanzisha vikundi vyao vya kujilinda iwe kesi..?.jeshi la polisi ndio lakulaumiwa hapa
kunya anye bata akinya kuku kaarisha
shame to you ccm and polisi
 
dada upo sahihi lakini swali la kujiuliza ni,kwanini jeshi la polisi pamoja na serekali haikukemea green guard mapema,kwanini chadema ilipotoa ushahidi wakutosha kwamba kuna kambi za green guard zilizoanzishwa tena wanapewa mafunzo yakijeshi kuuwa,kupiga,na pia kwanini polisi haikuufanyia ule ushahidi wa silaha ambayo chadema iliuvumbua dhidi ya green guard..?polisi kutokuufanyia kazi wala kukemea inaonesha kwamba waliona uwepo wa vikudi hivyo ni sawa...sasa iweje leo chadema watake kuanzisha vikundi vyao vya kujilinda iwe kesi..?.jeshi la polisi ndio lakulaumiwa hapa
kunya anye bata akinya kuku kaarisha
shame to you ccm and polisi
yaani mm iwe ni hiyo green guard iwe ni hiyo red ama hiyo blue kwangu mm haa haya ni makosa na kwakua kosa haisahihishi kwa kosa basi sisi wananchi tusema kabisaa kwamba tumechoshwa na haya mambo na sasa tunataka mabadiliko. nakwambia ndugu yangu mwisho wa siku ni mm na wewe tutakao umia ila hawa viogozi wetu hutamkuta hata ndugu yake akiwa ni miongoni mwa watakao umia.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
kwa hizi picha ccm mshipa wa aibu hawana.!!
 
2840174465_cb00d1e1de_o.jpg


[video=youtube_share;aQQdjIon93U]http://youtu.be/aQQdjIon93U[/video]

Asante MKUU. Nimefurahia hao wa MWENZI wa CCM (wenye Makoti meusi), sijui wanaitwaje? au ni BLACK GUARDS?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
yaani mm iwe ni hiyo green guard iwe ni hiyo red ama hiyo blue kwangu mm haa haya ni makosa na kwakua kosa haisahihishi kwa kosa basi sisi wananchi tusema kabisaa kwamba tumechoshwa na haya mambo na sasa tunataka mabadiliko. nakwambia ndugu yangu mwisho wa siku ni mm na wewe tutakao umia ila hawa viogozi wetu hutamkuta hata ndugu yake akiwa ni miongoni mwa watakao umia.

sawa kabisa dada,nadhani kilichowasukuma chadema kuamua kui-imarisha red brigade ni mlipuko wa bomu uliotokea katika mkutano wao arusha,ambapo hata ushahidi wakimazingira unaonesha polisi walihusika directly au indirectly leave alone video ambayo mpaka leo raisi hajaunda tume ya kimahakama ili iweze kuchunguza na wapewe video hiyo...mimi kimsingi naweza kusema mambo haya yalianzishwa na kuchochewa na serekali ya ccm bila kujua madhara yake baadae
na kinacho nitatiza zaidi ni kwanini rais hataki kuunda hiyo tume ya kimahakama ili uchunguzi uwe huru..?inamcost nini kuiunda..??nadhani kuna secret behind na hiyo secret yenyewe ni kuhusika kwa polisi.
Nadhani video hiyo ikiwekwa wazi tuione na ionekane kwamba polisi walihusika,chadema watakuwa very right kuimarisha red brigade,kwakuwa polisi ndio hao wanaihujumu...lets wait and see
 
Imekuwa ni kawaida ya watawala kukurupuka na kutoa kauli ambazo zinazidi kuwa chafua na kuwa dharirisha mbele ya wananchi halafu wanatutaka tuwaamini, kwa lipi!.... Suala la guards wa vyama vya siasa mbona limo katika katiba za vyama husika na msajili wa vyama aliliridhia?.....serikali imechoka sana kama waziri mkuu alivyosema.
 
nimekuwa nikiona ccm wakitumia symbol hii

ENCXwwZvcC4jHOEyPlCAlz_Hcc-HVxa8dXtxKNWCQP0NvdnRk8EAkImaSvkOP0_YM04pEclKVnNrhDGtEdWVV6bvqGTPOinDfV-Wsy-xMmymVf5bZb7f7Te1BaVQEkj_7Q



hizo kofia hao watoto sijawahi ona CCM wakitumia symbol hiyo kama utambulisho wao​

Hiyo ni CCM ya enzi ya mwl. Myerere, CCM ya leo ni hii hapa chini ambayo ni well trained CCM armed forces. Jembe na Nyundo (alama ya wafanyakazi na wakulima) si kitambulisho tena cha CCM kwa sababu chama chenyewe kinamilikiwa na wafanyabiashara na mafisadi. Wakulima na wafanyakazi siku hizi wanaitwa "wapiga kura wangu" na mafisadi.

attachment.php
 
Ccm wote wananuka ruswa hebu jiulize hawana biashara yeyote lakini wakati wa uchaguzi wanachukua kodi zetu wanafanyia mambo yao,wananchi tunabaki tunakula nyasi,watanzania tufanye mabadiliko vinginevyo tutaumia sasa angalieni tunalipa kodi ya cm,television na hadi radio tutawekewa vingamuzi
 
Back
Top Bottom