hi ya CUF ni Noma -- NINJASBlue guard wa CUF hao
![]()
...Mkuu red ya kwanza: -ni kwa ajili ya kujilinda dhidi ya polisi wanaporusha mabomu yao ya mkono kwenye mikutano ya CDM.hi vi yale ya m23 si yalianza hivi hivi??
ukweli sioni sbabu ya chama cha siasa kuwa na kikundi chake cha ulinzi. kwani kinamlinda nani dhidi ya nani?? honestly haya yanatakiwa yapigwe marufuku na wananchi weyewe vinginevyo wananchi tutajikuta tunapigana ilihali hao wenye hao mgambo kila mmoja akakimbilia mafichoni na familia zao.
natangaza rasmi kujitoa kwenye siasa kwasasa
Duh,EMT wewe ni kiboko.Siwezijua maana zipo za aina nyingi.
Unaweza kusema kuwa na huyu nae siyo Mtanzania?
Maana kofia yake haina hiyo label ya jembe na nyundo.
![]()
Bora kuona kuliko kuambiwaNimejionea mwenyewe
cc Senzo
Siwezijua maana zipo za aina nyingi.
Unaweza kusema kuwa na huyu nae siyo Mtanzania?
Maana kofia yake haina hiyo label ya jembe na nyundo.
![]()
hi ya CUF ni Noma -- NINJAS
Kwa kanuni hiyohiyo wananchi wanasema NO GREEEN GUARDS!There is absolutely no reason for us to think anymore, the decision has been made by the authority, we the people trust the authority. We say no to Red Brigade!
Hii watakanusha na kusema ni waasi wa Congo
Unamaanisha chipukizi kama hawa?
![]()
Nembo za UVCCM.
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()
Baada ya kuhitimu mafunzo ya ujasiriamali. Wako tayari kwenda kuyatumia kwa kuteka na kuumiza.Si ndo nashangaa pamoja na kuwepo kwa muda wote huo serikali haijawahi kuchukua hatua.
![]()