Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Khaa!! dini gani ?Tumeanza kuchezea hata dini sasa.
Khaa!! dini gani ?Tumeanza kuchezea hata dini sasa.
Si ndo nashangaa pamoja na kuwepo kwa muda wote huo serikali haijawahi kuchukua hatua.
![]()
njiwa nae kasema hivyo na kuletewa na Dotworld picha nyingine yenye kofia iliyo na nembo hiyo hiyo na hakurudi tena kwenye hii thread. Angalia hiyo picha hapo chini kutoka Morogoro. Hizo nembo hazifanani?
Pia angalia kofia anayovaa Mwigulu Njemba siku hizi ina nembo ya CCM ya jembe na nyundo?
Probably, atakuwa raia wa Cuba huyu?
![]()
View attachment 101881
View attachment 101882
View attachment 101883
View attachment 101884
View attachment 101885
View attachment 101886
View attachment 101887
Kwa leo inatosha, nitaendelea kuwaletea vituko vya hili jeshi lililoundwa na maadui wa taifa hili kwa njia ya picha...naamini picha haidanganyi, haifichi na haihitaji utetezi. Tuendelee...
Tumeanza kuchezea hata dini sasa.
Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?
Poor US!!!
hahahaha ati sikurudi tena, mwezi mtukufu huu i have better things to do siwezi kushinda JF tu, nikirudi kwenye mada mkuu as long hazina logo ya CHAMA then hawahusiani na CHAMA... CCM ya pale lumumba ninayoijua mimi logo yake ni jembe na nyundo hao hawahusiani CCM
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()
Kumbe tatizo ni kubwa zaidi ya tunavyolijua, naweza kusema thanks upinzani (CDM) kwa kuja na 'mkakati' wa kuyadhihirisha haya ili wenye macho waone, na wenye kuchukua hatua wachukue
hiyo ni nembo madogo ni ya umoja wa vijana ccm
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()
mkuu hii si tanzania... naona wadau washadakia ni CCM , hebu angalia hizo kofia CCM ilitakiwa kuwe na lable hii
![]()