Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

3.+Chipukizi+Emmanuel+Mgoba-12+%28kushoto%29+akimuongoza+Nape+baada+ya+kuwasili,+Makao+Makuu+ya+Wilaya+ya+Kilolo.jpg

Huu mtindo wa kuwatumia watoto kwenye siasa inabidi ukomeshwe.
 
Mkuu EMT, picha hii hapa ni green guard au ni kitu gani? Mimi nashauri hii ya watu wanaosahau kuwa wana schools of guards wanatakiwa wakae kimya!!!! Kwa evidence hii ni aibu tupu!!! Atafune maneno yake na kuyameza na kuwaomba radhi watanzania!!! Kwa hiyo kuna green guard, gwanda guard, jeshi guard, UWT guard, you name all. Nimecheka mwenyewe kama mwehu nilipoona hii picha.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mtatoka kwenye brigades, taratibu taratibu mtaunda vikosi mfano wa umkhonto we sizwe ; Umkhonto we Sizwe - Wikipedia, the free encyclopedia

Mtakapoanza 'kukhontoana' waziwazi kwa tindikali, vitu vyenye ncha kali, risasi za moto, mabomu na hatimaye vita rasmi baina ya vyama, tutakumbuka kwamba mlianza hivi hivi. Ndipo tutaingalia nchi yetu na kuililia kama nabii Isa (Bwana Yesu) alivyoililia Jerusalem 'laiti ungelijua yapasayo amani' ;
 
Last edited by a moderator:
Huu mtindoi wa kuwatumia watoto kwenye siasa inabidi ukomeshwe.
Mkuu EMT umenena, sijui kama ILO wanafahamu hili!! Ille CNN project ya child abuse inatakiwa iende mbali zaidi ya kuangalia sexual abuse tu. Imagine mototo wako badala ya kwenda shule anafundishwa unyama. Ila nahisi ni wale wa shule za akina nanihii maana kama ni zile zinazofaulisha sidhani hata kama wanathubutu kuwafikia!!! Kweli ni lazima kidato cha nne zero nyingi, na kidato cha tano madarasa hewa inajaza kwa kuwa wanafunzi hawana viwango!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu EMT, picha hii hapa ni green guard au ni kitu gani? Mimi nashauri hii ya watu wanaosahau kuwa wana schools of guards wanatakiwa wakae kimya!!!! Kwa evidence hii ni aibu tupu!!! Atafune maneno yake na kuyameza na kuwaomba radhi watanzania!!! Kwa hiyo kuna green guard, gwanda guard, jeshi guard, UWT guard, you name all. Nimecheka mwenyewe kama mwehu nilipoona hii picha.

Wanasheria huwa wanasema "Who he comes into equity must come with clean hands".

Sidhani kama mikono ya Rais ni misafi maana kama ilivyo Chadema, chama chake cha CCM nacho kina Green Guard.
 
Mkuu EMT umenena, sijui kama ILO wanafahamu hili!! Ille CNN project ya child abuse inatakiwa iende mbali zaidi ya kuangalia sexual abuse tu. Imagine mototo wako badala ya kwenda shule anafundishwa unyama. Ila nahisi ni wale wa shule za akina nanihii maana kama ni zile zinazofaulisha sidhani hata kama wanathubutu kuwafikia!!! Kweli ni lazima kidato cha nne zero nyingi, na kidato cha tano madarasa hewa inajaza kwa kuwa wanafunzi hawana viwango!!!

Hapo kwenye red hata mtoto akienda shule wanasiasa wanawafuata huko huko shuleni.

Kama kwenye hiyo picha hapo chini watoto wa shule ya msingi wakiwa kwenye gwaride la kumpokea Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahaman Kinana, wilayani Gairo, tarehe 18 April 2013.

Hii picha ni kwa hisani ya CCM na wala hawaoni ajabu kuwaibukia watoto muda wa shule na kufanyiwa graride badala ya kusoma.

Pia piga mahesabu hawa watoto wamepoteza muda gani kupiga mazoezi ya hilo gwaride kabla ya kuja kuwapigia hao wanasiasa.

Kuna uwezekano hii siku hawakusoma kabisa wakiwasubiri hawa wanasiasa ili kuwapigia gwaride. Hapo mtoto aliaga nyumbani anaenda shule.



2.jpg
 
Picha zipo nyingi tuu. Kila chama kina "guard" wake



Sio tu kuwepo bali pia imeainishwa wazi katika katiba ya M4C iliyopo kwa Msajili wa vyama wakiitwa kama Red Brigade. Kwa uhakika muulize Tendwa,Msajili wa vyama .
 
Dah hii nchi hali ishakuwa mbaya muda si mrefu tusipokuwa makini majeshi yetu yatatusababishia ya syria na libya
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wangekuwa na soni wangeficha nyuso zao!

ndiyo maana huwa nampenda sana Sofia Simba

"Ndani ya CCM hakuna aliyemsafi"... Na katika upuuzi huu Wa guards na brigades, hakuna wa kumnyoshea mwenzie kidole. Inabidi tukubali kwamba tukeshachemsha, turudi kwenye drawing board!
 
Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?

Poor US!!!

Uhuru kamili
 
Kinachowafanya ccm na polis wao kubwatuka ni nini?
 
Picha hii ilipigwa huko singida katika makambi ya kijeshi ya ccm na hawa ni watoto waliohitimu mafunzo hayo ya kigaidi.
wanajamvi swali la kujiuliza ni kuwa, kama ccm wanadiriki kuwapa watoto mafunzo ya kijeshi tena kwa mfano wa silaha nzito kama hizo ni nini malengo yao?,

je? kisaikolojia hawa watoto wanakuwa katika hali gani?
Sheria za kimataifa zinasemaje juu ya kutumikisha watoto kama wanajeshi?
Je? mheshimiwa rais wetu analijua hili?
ikumbukwe kuwa mlezi wa kambi hii ni mwigulu mchemba, sasa kwanini analiaibisha taifa namna hii na sisi tunamchekea tu?
 

Attachments

  • 969902_216859025134475_1397986497_n.jpg
    969902_216859025134475_1397986497_n.jpg
    54.9 KB · Views: 126
images

EMT, hawa blue guards wametisha mkuu. asante kwa kuleta mada hii.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Acha hata kisaikolijia. Hawa watakuwa hatari sana mitaani. Watu wanaleta utani. Namna hii tunaingiza nchi katika matatizo makubwa. Silaha kwa watoto kunawafanya wakose utu na wala kutokuogopa maiti wala kuua.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hiyo picha hao watoto sio wa ccm ni watoto wa congo acheni kupotosha angalia hata kofia hazina nembo ya ccm
 
Back
Top Bottom