PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Hoja hapa.
ni kwanini wakati huu wakati kipindi cha nyuma hakuna sehemu yoyote ambayo alikua akifanya hivo! ? Hii sio nidham kati ya Chama. Chama kupitia kurugenzi ya mawasiliano ina taarifa hii?

Yaani Jimboni kwake atoe taarifa kwa kurugenzi ya habari?
Sasa kweli nyinyi mburula
 
Mkuu nijibu kwanza swali langu huyo Zitto anasema ana damu CDM hiyo damu ni ya hedhi au damu ya panya? Jibu swali na sio kukurupuka tu kama mtu aliyefumaniwa ugoni.

Leo mtatukana matusi yote mliyofundishwa na BABU GONGO ila Zitto hamumuwezi.
 
Analysis za maliberali huwa siku zote za kijinga, CC ya CDM lazima iharakishe kumtema Zitto kwa maslahi mapana ya Watanzania wapenda mabadiliko...otherwise tujiandae na miaka mingine 7 ya kushudia kuangamia kwa Tembo na madini yetu ...

How about conservatives analysis!!? Then put your self in democratic analysis then conclude wisely. Mhafidhina mchanga wewe!
 
Itachukua muda wananch hao kutambua kuwa walishauzwa kwa briefcase ya zoka. Anyway the tym will tel
 
Hili swali ungemuuliza shemeji yetu viti maalum.

Shemeji yetu kwa nani Mkuu? Na anahusikae hapa?

Naanza kuamini kuwa Div 5 ni ya muhimu sana iwepo, Maana kwa akili mizigo za watu kama ww zinahalalisha hoja ya Div 5.
 
Slaa alipokelewa Kigoma na rafiki zake wapenzi:

slaa-k4.jpg

slaa-kigoma.jpg


cc Dr.W.Slaa, Josephine, Godbless J Lema, Ben Saanane. Yericko Nyerere
 
Last edited by a moderator:
Shemeji yetu kwa nani Mkuu? Na anahusikae hapa?

Naanza kuamini kuwa Div 5 ni ya muhimu sana iwepo, Maana kwa akili mizigo za watu kama ww zinahalalisha hoja ya Div 5.

Teh teh teh! nyani haoni ku...... na wewe mambo ya damu ya hedhi yametoka wapi huku?
 
How about conservatives analysis!!? Then put your self in democratic analysis then conclude wisely. Mhafidhina mchanga wewe!
Vijana wa Lumumba muwe mnachanganya akili za kubebewa! "democratic analysis" kwa wasaliti? Wachina wasingefika hapo walipo kama wangeendekeza hizo lyrics za western... hakuna msamaha kwa wasaliti...
 
Hayo mapokezi makubwa ni kwasababu gani? Hiyo ziara ipo kwenye ratiba za chama? Anapokelewa kama nani?

Ndio haya wengine tunapata shida kweli na huyo Zitto.Mashindano tu yasiyo na tija! Kwani Zitto huwa haendi Kigoma hadi leo apate mapokezi tofauti?
Yaani nini tija ya ziara ya Zitto huko Kigoma kwa Chadema maana hata Slaa hajipangii tu ziara za chama na zinatangazwa rasmi kwa taarifa kutoka kurugenzi ya habari.
Haya maana najua wengine mna mapenzi tuuuuu na huyu kijana.


Nyinyi Mlianza naye anamalizia, sasa kilio cha nini, muiteni lema basi amisaidie kwani nyinyi hamuwezi kitu mbele ya Hounerable ZITTO THE GREAT, THE CONQUEROR OF ALL MICKEY MOUSE POLITICIANS, THE ROBIN HOOD OF THE POOR, THE MANDELA OF OPPRESSED, THE FATHER THERESA OF THE ORPHANS, THE BUILDER OF DEMOKRASI, THE POWER BEHIND THE PARLIAMENT, THE HEARTBURN FOR MTEI, NA SHUBIRI YA KINA MBOWE/SLAA/LEMA/MNYIKA NA TUNDU.

ZITTO IS PEOPLES POWER, ZITTO IS PEOPLES HOPE
 
Si shangai kuona watu humu ndani roho zikiwauma kwa tukio hili,sio watu wa democrasia kabisa wao wanataka jinsi wanavyofikiria ndo iwe hivyo.Niliunga mkono CDM kwa sabab ya democrasia lakini upepo unavyokwenda hakuna ile democrasia tena ndan ya chama.
Ni visas,uonevu,udini,ukabila na undumilakuwili.Leo hii watu flanflan ndo wanaonekana kuaminika. Zitto tu kupokelewa vizuri watu povu linawatoka je kweli hii sahihi???
teh teh, unaonaje ukaenda chama chenye demokrasia?
 
Hahahahaha

zzk hatafanikiwa kamwe

kwa sababu n mnafk,mwongo,anaetumia elimu yake vibaya

sipendezwi na tabia zake mimi

chadema mfkuzen huyu mtu
 
Kwahiyo ww ni mtume n nabii?

Nijibu hiyo damu ya Zitto ni ipi hiyo kenge zaid ya watu waliopoteza maisha arusha na moro?

Huko Arusha na Moro kuna bwana ako nani alipoteza damu huko? Au wewe ulipoteza? Dont compare incomparable
 
Leo mtatukana matusi yote mliyofundishwa na BABU GONGO ila Zitto hamumuwezi.

Kweli Mkuu Zitto hatumuwezi kabisa,
Mtu anayetishia kuuwa hadi panya wa uvunguni sisi tutamuwezea wapi?
Mtu mwenye ujasiri wa kusaliti umma wa watanzania kwa vipande thelathini sisi tutamuwezea wapi?
 
Last edited by a moderator:
Mmeona tumehoji kuhusu bendara/vazi la chama chake ikabidi mje na propaganda ya kitoto eti ni "kitaifa"
 
mkuu hata mimi nimeshangaa kutokuona alama yeyote ya chadema kwenye huu mkutano,
labda walioko huko kigoma watujuze kama walikatazwa au imetokea tu coincidence kila mtu akasahau kubeba bendera

Kwa CDM sijawah ona hali kama hii, au ndo kile chamaa?

Hakukuwa na mwanachadema pale wale ni CCM wanaowezeshwa na CCM mkoa na taifa ha ha halafu zitto anajiita mwana chedema chadema wa wapi aisee jamaa hata kwao wamemstukia unatia huruma matayarisho yote ya wiki tatu ndio idadi hii ya watu siku za mwizi kweli huwa arubaini
 
Shemeji yetu kwa nani Mkuu? Na anahusikae hapa?

Naanza kuamini kuwa Div 5 ni ya muhimu sana iwepo, Maana kwa akili mizigo za watu kama ww zinahalalisha hoja ya Div 5.

Teh teh teh! nyani haoni ku...... na wewe mambo ya damu ya hedhi yametoka wapi huku?
 
Vijana wa Lumumba muwe mnachanganya akili za kubebewa! "democratic analysis" kwa wasaliti? Wachina wasingefika hapo walipo kama wangeendekeza hizo lyrics za western... hakuna msamaha kwa wasaliti...

Mbona wewe pia nakuona ni msaliti tu! Usaliti ni dhana tu! Hauna standards za kuupima! Hata unaowaamini kuna watu wanawaona wasaliti vilevile. Kwa hiyo wewe ni mchina sio? Demokrsia ni wazo la western kama unavyosema na kama tumekubali kufuata huo mfumo then we have to obey and maintain standards also. Sio kupenda kuku na kukataa mayai
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom