PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Mimi sioni cha ajabu hapo, nikawaida sana kwani bado ni mbunge wake lakini kikubwa ni msukumo wa kiukanda zaidi ambao hauna madhara yeyote kwa CDM.
 
Kutokana na mambo kumwendea ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.

My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake. Sijui kama huyu jamaa anapata usingizi sawasawa, anahitaji check-up.

996985_635303939865014_623020908_n.jpg
Naona kamanda umeamua kujifari na kujiliwaza.

Teh teh teh
 
Alihisiwa tishio hivyo, shida waliberali mmeng'ang'ana jamaa ni tishio....
huu ni mwisho wa Zitto Kabwe
 
Anatumia tumbo kufikiri - ni hatari sana.
Nilishasema tena huyu jamaa aliingizwa kwenye mkakati ambao yeye mwenyewe hakuwa akiutawala mkakati huo.

Waliokuwa wamemshikilia mchezo mzima ndio waliokuwa wakijua mchezo utaishia wapi. Tatizo la wapangaji mkakati nao walikuwa ni emotional thinkers ambao nao walikuwa wanaangalia juu ya matawi na walipokuwa wamesimama hawakupaona.

Pia kulikuwa na tabia ya ku-amplify situations zikamfanya Zitto aonekane kama ni miracle maker!

ZITO NI BINGWA WA MAPINDUZI YALIYOSHINDWA KABLA HAYAJAANZA!
 
tatizo ni kwamba,watu wakihudhuria mikutano ya msiowapenda mnasema wamelipwa,ila wakihudhuria mikutano yenu mnasema hawajalipwa,yaani mazuri yote yanatoka kwenu tu.
Nyie kila jambo jema ni lenu,ila baya la wenzenu,haijawahi tokea ktk hii dunia.
Si shangai kuona watu humu ndani roho zikiwauma kwa tukio hili,sio watu wa democrasia kabisa wao wanataka jinsi wanavyofikiria ndo iwe hivyo.Niliunga mkono CDM kwa sabab ya democrasia lakini upepo unavyokwenda hakuna ile democrasia tena ndan ya chama.
Ni visas,uonevu,udini,ukabila na undumilakuwili.Leo hii watu flanflan ndo wanaonekana kuaminika. Zitto tu kupokelewa vizuri watu povu linawatoka je kweli hii sahihi???
 
Mkutano mzima wa Zitto sioni bendera za Chadema! Mnaweza kudhani nachochea mjadala lakini kuna faida ya kujiuliza haya.
 
Achukue likizo ya mwezi mzima akatafakari "ni kwa nini ni hatari kuwa msaliti"
 
Kutokana na mambo kumwendea ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.

My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake. Sijui kama huyu jamaa anapata usingizi sawasawa, anahitaji check-up.

996985_635303939865014_623020908_n.jpg

Hao walinzi wamevaa vinguo vichafu! Dah...
 
Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?

Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia


Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake

Inaelekea kusema ukweli katika katiba ya Chadema ni kuvunja katiba. Maana toka jana unakazania hasivunje katiba mbona Mbowe kavunja katiba kwa kujilipa pesa na kuweka cha juu hakuna anayehoji? Slaa kajikopesha mamilioni nae si kavunja katiba je! Mlimwazibu? Au ndio tuamini maneno ya mtaani kuwa CDM ni Saccos ya Mtei na kampani yake?

Acheni woga. Siku zote ktk ukweli uongo hujitenga
 
Si shangai kuona watu humu ndani roho zikiwauma kwa tukio hili,sio watu wa democrasia kabisa wao wanataka jinsi wanavyofikiria ndo iwe hivyo.Niliunga mkono CDM kwa sabab ya democrasia lakini upepo unavyokwenda hakuna ile democrasia tena ndan ya chama.
Ni visas,uonevu,udini,ukabila na undumilakuwili.Leo hii watu flanflan ndo wanaonekana kuaminika. Zitto tu kupokelewa vizuri watu povu linawatoka je kweli hii sahihi???
chuki binafsi
 
Ina maana kuwachosha hao wamama muda wote huo alikua anawaambia kua chadema hatoki??
 
Matusi na kashifa za wanachama Wengi Ndio zinafanya watu tujiulize akili hizo za matusi huenda hata wazazi hakutumia njia ya kawaida kupata mtoto kama ww
 
Ningeshangaa kama Kigoma wasingempokea Zitto namna hii. Japo si la kushangaza sana, ila hakika ni mbunge wao anastahili heshima zote kama mbunge.
 
Fanyieni siasa jf wakati dogo anawakamua kamasi huko field,wazembe nyie

Unaongelea Mwandiga? Makamanda yametapakaa kila kona ya nchi hii yanamsulubu CCM,huyo YUDA mtoto mdogo sana mwacheni awaumize vichwa magamba kwa kuwekeza fedha nyingi na muda kupanga naye mikakati iliyofeli ya kuhujumu CDM.CHEZEA PEOPLE,ZZZZ POWER WEYE! utapasuka msamba bwana mdogo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom